Posted on: April 16th, 2019
Mwenge wa Uhuru 2019, umepokelewa katika Mkoa wa Kigoma ambapo unatarajiwa kukimbizwa takribani kilomita 919 na kutembelea jumla ya Miradi 54 yenye thamani ya shilingi bilioni 10.6.
Aidha,...
Posted on: April 15th, 2019
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana wadau balimbali imeandaa 'Kongamano la Kwanza la Kimataifa la Kibiashara' maarufu kama 'Tanganyika Business Summit & Festival. Kongamano hili la kw...
Posted on: April 4th, 2019
Taasisi ya kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Kigoma imeagizwa kuwachunguza kuchunguza na kutoa taarifa ndani ya Wiki tatu atumishi 10 wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko kutokana na sintofahamu ya k...