• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Maafisa Ustawi wa Jamii watakiwa kutekeleza Majukumu yao

Posted on: February 7th, 2019

Maafisa Ustawi wa Jamii waaswa kufanya kazi zao kwa weledi kuwahudumia wahitaji

Viongozi wa Serikali na Watendaji wakuu kwenye Mkoa na mamlaka za Serikali za Mitaa wametakiwa kushirikiana na wadau mbalimbali suala la utoaji huduma kwa jamii ikiwemo masuala ya makundi maalumu hususan wazee na walemavu.

Ameyasema haya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brig. Jen. (mst.) Emmanuel Maganga wakati wa kuzindua mradi wa kuboresha ulinzi wa usawa, ustawi na usalama wa watu wenye mahitaji maalumu (wazee na walemavu) unaotekelezwa na Shirika lisilo la kiserikali la HelpAge.


 Wakurugenzi wa Halmashauri kupitia kwa wataalamu wenu wa Ustawi wa Jamii, nendeni mkasimamie utekelezaji wa moja kwa moja wa mradi huu kwa kushirikiana na HelpAge katika Halmashauri zenu.  Uwepo Mabaraza ya Ushauri ya wazee ngazi za Vijiji/Mitaa, Kata, Halmashauri na sasa Mkoa basi ikawe ni chachu katika kutekelezeka kwa mradi huu kwani mabaraza haya yatasaidia katika kufanikisha azma hii nzuri ya mdau amesema Mkuu wa Mkoa.

Maafisa ustawi wa jamii wakafanye kazi kubwa kwenye kuwajengea uwezo wazee, kuyajengea uwezo mabaraza, kuwawezesha wazee na mabaraza yao kutimiza majukumu yao kwenye jamii ili hatimae wazee na walemavu wakapate wepesi katika kupata huduma zao.

Aidha amewapongeza Shirika la HelpAge kwa kuwekeza katika kuhudumia kundi maalumu la wazee na walemavu kwa kumekuwa na changamoto kubwa ya wadau wengi kutowekeza au kutoa huduma kwa makundi haya mawili muhimu kwenye Mkoa wetu na hata nchi nzima kwa ujumla, hivyo tunapompata mdau ambaye anaonyesha nia dhahiri kama HelpAge, sisi kama serikali ni kuhakikisha tunashirikiana nae ili kufanya wepesi katika utekelezaji wa mradi na hatimae matokeo yake yaweze kuonekana mapema amesisitiza Mkuu wa Mkoa.

Naye Mratibu wa Mradi wa HelpAge Bw. Leonard amefafanua kuwa  wamedhamiria kufanya kazi katika maeneo makuu matatu kama kwenye uimarishaji wa huduma za afya kwa walengwa, kutetea haki za wazee na walemavu na pia kusaidia kutilia mkazo eneo la hifadhi ya jamii.

Aidha, maeneo haya matatu ni muhimu kwa makundi hayo kwenye jamii kwani ndiyo maeneo ambayo kama yatafanyiwa kazi kwa juhudi na mdau mbalimbali, kwa sehemu kubwa itasaidia kutatua changamoto zinazowakabili wazee na walemavu kwenye jamii yetu ya Mkoa wa Kigoma.

Mpaka sasa shirika la HelpAge lomekwisha tekeleza kiraqdi mbalimbali Mkoani Kigoma ikiwemo uwezeshaji mkubwa kwenye halmashauri za Kakonko na Kibondo, kutoa baadhi ya huduma kwenye kambi ya wazee Kibirizi na kuundwa kwa mabaraza ya wazee kwenye halmashauri na Mkoa.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa