• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

RC SIRRO AAGIZA KUFANYIKA UPYA KWA TATHMINI SHAMBA LA MWEKEZAJI NA 206 LUGUFU UVINZA

Posted on: September 2nd, 2025

CLINTON JUSTINE-KIGOMA RS

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Baloz.i Simon Sirro ameagiza kufanyika upya kwa Tathmini ili kuwabaini na kuwafidia wakazi  waliokutwa wakiishi eneo hilo na mwekezaji ambaye ni Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum kiuchumi Tanzania (TISEZA) katika Shamba Namba 206 Lugufu lililopo kijiji cha Mwamila Kata ya Kazuramimba wilayani Uvinza mkoani Kigoma kwa lengo la kutatua mgogoro uliopo baina ya taasisi hiyo na wananchi wanaoishi ndani ya eneo hilo la uwekezaji.

Balozi Sirro ametoa kauli hiyo alipokutana na wakazi wanaoishi ndani ya shamba hilo na  kuuelekeza uongozi wa Halmashauri ya Uvinza kufanya upya tathmini ili kubaini iwapo wakazi hao walikutwa wakati likifanyika  zoezi la kutenga eneo la shamba hilo ili waweze kulipwa fidia waweze kupisha katika eneo hilo.

Amesema serikali ya Tanzania haipo tayari kushudia wananchi wakiwa wazururaji ndani ya nchi yao huku akitoa maelekezo kwa uongozi wa halmashauri kuwaacha wakazi hao kuendelea na majukumu yao ya ufugaji na kilimo katika eneo hilo huku mwekezaji akisubiri yafanyike mapitio kisha kutolewa uamuzi wa serikali.

Kantate Julius Mkazi wa kijiji cha Mwamila amesema baadhi yao wamekua wakiishi kna kufanya shughuli za ufugaji na kilimo katika Shamba hilo tangu mwaka 2010 huku wakiwa wamepanda mazao mbalimbali ya kudumu na kuiomba serikali iwatengee eneo lingine ili waweze kumpisha mwekezaji.

Shamba hilo lenye ukubwa wa Hekta 10,529.96 linamilikiwa  kwa makubaliano ya upangishaji wa muda mrefu na Mamlaka ya uwekezaji TISEZA  kwa ajili ya Kilimo na Ufugaji.


Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC SIRRO AAGIZA KUFANYIKA UPYA KWA TATHMINI SHAMBA LA MWEKEZAJI NA 206 LUGUFU UVINZA

    September 02, 2025
  • UJENZI KITUO CHA AFYA MAKERE WAFIKIA ASILIMIA 70

    August 27, 2025
  • UJENZI KITUO CHA AFYA RUKOMA KUWAONDOLEA ADHA WAKAZI KUFUATA HUDUMA ZA AFYA ZAIDI YA KM 10

    August 25, 2025
  • MRADI WA AFYA HATUA KUONGEZA KASI MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI MANISPAA YA KIGOMA UJIJI

    August 18, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa