• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

UJENZI WA MITARO SABA YA MAJI KUNUSURU KAYA ZAIDI YA 300 KIGOMA UJIJI

Posted on: October 16th, 2025

Ujenzi wa Mitaro ya Maji katika Manispaa ya Kigoma Ujiji umetajwa kunusuru  Nyumba 384 zilizokuwa hatarini kuathiriwa na maji kutokana na kupakana na  Makorongo au maeneo yanayopitisha maji kwa wingi  nyakati za Mvua.

Hayo yamebainishwa wakati za ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro alipotembelea Miradi inayotekelezwa kupitia Mradi wa Uboreshaji wa Miundombinu ya Miji Kiushindani Tanzania (TACTIC) inayotekelezwa Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani hapa.

Akizungumza mara baada ya kukagua miradi hiyo, Balozi Sirro amesema miongoni mwa kazi zinazotekelezwa kupitia mradi ni udhibiti wa athari za makorongo saba ambapo unafanyika ujenzi kuimrisha kingo zake ili zisizidi kutanuka na kuleta madhara kwenye makazi.

Aidha, Sirro amewataka wakazi katika manispaa hiyo kutoigeuza mitaro hiyo kuwa maeneo ya kutupa takataka, jambo linaloweza sababisha ishindwe kupitisha maji kwa usahihi.

Katika hatua nyingine Balozi Sirro amesisitiza ukaguzi wa mara kwa mara wa miradi hiyo ili iweze kutekelezwa na kukamilika kuendana na matakwa ya kimkataba.

Upande wake Mhandisi wa TARURA Mkoa Ellius Mutapima amesema  ujenzi wa mitaro unakwenda sambamba na ujenzi wa daraja katika mto Ruiche pamoja na barabara ya Ujiji-Bangwe kwa Thamani ya Shilingi Bil. 29.8.

Pia Mha. Mutapima amewataka wananchi wanaokaa katika maeneo inamopita mitaro hiyo, kuchukua tahadhari ili kuepuka madhara yanayoweza jitokeza hususani watoto kutumbukia katika mitaro hiyo.

Katika ziara hiyo, Mkuu wa Mkoa amekagua pia ujenzi wa Soko la Mwanga, Katonga  pamoja na mtaro wa kuondoa maji katika eneo la Katubuka huku  akionesha kuridhishwa na kazi zinavyoendelea kufanyika.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • UJENZI WA MITARO SABA YA MAJI KUNUSURU KAYA ZAIDI YA 300 KIGOMA UJIJI

    October 16, 2025
  • SIRRO AKUTANA NA MWAKILISHI WA MKANDARASI WA UJENZI SGR UVINZA-MSONGATI BURUNDI

    September 24, 2025
  • RC SIRRO AAGIZA KUFANYIKA UPYA KWA TATHMINI SHAMBA LA MWEKEZAJI NA 206 LUGUFU UVINZA

    September 02, 2025
  • UJENZI KITUO CHA AFYA MAKERE WAFIKIA ASILIMIA 70

    August 27, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa