• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

''ZINGATIENI SHERIA ILI KUDHIBITI RUSHWA BARABARANI'' RC ANDENGENYE

Posted on: May 6th, 2023

Wamiliki wa Mabasi Mkoa wa Kigoma wametakiwa kufuata Sheria ili kuepuka Makosa yanayotoa fursa kwa baadhi ya Askari wa Usalama Barabarani wasiokuwa waadilifu kuyamaliza makosa hayo nje ya taratibu za kisheria kwa kupokea Rushwa.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye alipozungumza na wamiliki wa mabasi na madereva kwenye Mkutano Mkuu wa wamiliki wa Mabasi Mkoa wa Kigoma (KIBOTA) uliofanyika leo Mei 6, 2023 katika Ukumbi wa Joy in the harvest Mjini Kigoma.

Amesema iwapo vyombo vya usafiri vitaimarishwa ili kutokuwa na dosari pamoja na madereva kuongeza umakini na kuzingatia Sheria zinazoongoza utendaji kazi wao, itasaidia kupunguza makosa ya Barabarani yanayotoa nafasi ya uwepo wa mianya ya rushwa kwa baadhi ya Askari wasio waadilifu wenye jukumu la kusimamia usalama barabarani.

Aidha Mkuu wa Mkoa amewaelekeza wadau hao muhimu wa usafirishaji wa Abiria, kuisaidia Serikali katika kudhibiti wimbi la wahamiaji Haramu katika Mkoa kwa kutoa taarifa katika Mamlaka husika wanapobaini uwepo wa raia wa kigeni kwenye vyombo vyao vya usafiri ili taratibu na hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa kwa lengo la kuimarisha usalama wa Nchi.

Amesema baadhi ya wamiliki pamoja na madereva wa magari madogo ya kusafirisha abiria wamekuwa wakikodiwa kwa ajili ya kusafirisha Raia wa Kigeni kinyume na Sheria, Jambo linaloipa wakati mgumu Serikali kupitia Jeshi la Uhamiaji kubaini na kudhibiti uingiaji holela wa raia wa kigeni nchini.

Mkutano huo umehudhuriwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, Afisa Biashara, TAKUKURU (M) Kigoma pamoja na Meneja wa TANROADS, TARURA na LATRA ambapo wajumbe wamepata fursa ya kuuliza maswali kwa wageni waalikwa na kupata ufafanuzi wa Hoja zao kisha wameendelea na kikao chao cha kisheria.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • MRADI WA BARABARA MWANDIGA KAGUNGA AWAMU YA KWANZA WAFIKIA 95%

    June 21, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA WAANZA KAMBI YA MATIBABU KIGOMA

    June 16, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa