• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

UJENZI KITUO CHA AFYA RUKOMA KUWAONDOLEA ADHA WAKAZI KUFUATA HUDUMA ZA AFYA ZAIDI YA KM 10

Posted on: August 25th, 2025

NA. CLINTON JUSTINE-KIGOMA RS

Kukamilika kwa Ujenzi wa Kituo cha Afya Rukoma wilayani Uvinza Mkoani Kigoma kutawaondolea adha  wakazi wa kijiji hicho kutembea umbali wa zaidi ya Kilomita Kumi kufuata huduma za Afya katika Kituo cha Afya kilichopo Kata ya Buhingu wilayani humo.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wakazi wa Kijiji hicho wamesema kituo kitakapokamilika kitasaidia kupunguza vifo vya wanawake wajawazito, watoto na wagonjwa wenye maradhi mbalimbali kutokana na kutumia muda mfupi kufika katika kituo hicho  tofauti na sasa ambapo hulazimika kusafirisha wagonjwa wao umbali mrefu kwa kutumia usafiri wa pikipiki ili kuzifikia huduma za Afya.

“Ukamilishwaji wa kituo cha hiki utasaidia kupunguza gharama za kusafirisha wagonjw sambamba na kupunguza vifo kwa wajawazito, wazazi, watoto  na kwa wagonjwa wenye maradhi mbalimbali ’’  amesema Shabani Saidi  Afisa Mtendaji kijiji cha Rukoma.

Hamis Kasanga ambaye ni mkazi kijijini hapo amesema upatikanaji wa uhakika wa huduma za afya katika eneo hilo, utabadilisha mtazamo wa wakazi na kuwaondolea fikra na Imani za kishirikina katika kutatua changamoto zao za  kiafya kutokana na upatikanaji wa vipimo vya Afya na kuweza kubaini maradhi katika hatua za awali.

‘‘kutokana na umbali katika kuzifikia huduma za Afya na kuepuka kutumia gharama kubwa, baadhi ya wakazi wamekuwa wakitumia tiba asili na kujihusisha na waganga wa kienyeji sambamba na kutumia ramli chonganishi pale wanaposumbuliwa na maradhi’’ amesema Hamis  Kasanga.  

Upande wake Joseph Kihanda ambaye ni  mkazi wa kijiji hicho amesema kumekuwa na  changamoto za kiusalama zinazowakumba madereva wa pikipiki wanaposafirisha wagonjwa nyakati za usiku ikiwemo kuporwa vyombo vyao vya usafiri sambamba na kujeruhiwa.

Naye Tumaini Paulo ambaye ni mkazi kijijini hapo ,amesema kukamilika kwa kituo cha afya rukoma kitasaidia kuokoa maisha ya wakazi wa eneo hilo kwa  kupunguza vifo vya wajawazito na watoto wachanga

Aidha ameiomba serikali kuongeza kasi katika ukamilishwaji wa kituo hicho ili upatikanaji wa huduma uweze kuanza mara moja.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • UJENZI KITUO CHA AFYA MAKERE WAFIKIA ASILIMIA 70

    August 27, 2025
  • UJENZI KITUO CHA AFYA RUKOMA KUWAONDOLEA ADHA WAKAZI KUFUATA HUDUMA ZA AFYA ZAIDI YA KM 10

    August 25, 2025
  • MRADI WA AFYA HATUA KUONGEZA KASI MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI MANISPAA YA KIGOMA UJIJI

    August 18, 2025
  • MRADI WA AFYA HATUA KUONGEZA KASI MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI MANISPAA YA KIGOMA UJIJI

    August 18, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa