• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

ZIARA YA MKUU WA MKOA WILAYANI KASULU

Posted on: August 15th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brigedia Jenerali (Mstaafu) Emmanueli Maganga, amagiza kusitishwa maramoja shughuli za Kilimo katika msitu wa Kagerankanda, wakati Uongozi wa Mkoa ukikamilisha mipango na taratibu za Ugawaji wa sehemu ya eneo la msitu huo lililotolewa kwa wakulima na Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.

Amewaagiza wataalamu wa na Uongozi wa Wilaya na Halmashauri ya Wilayani Kasulu kuharakisha taratibu za kubaini na kupima sehemu ya eneo la msitu wa Kagerankanda ili wananchi waweze kugawiwa na kuanza shughuli zao za kilimo.ametoa maagizo hayo wakati akizungumza katika Kikao cha Madiwani na watendaji Wilayani Kasulu.

Mhe. Maganga ametoa maelekezo hayo Wilayani kasulu ikiwa ni utekelezaji wa tamko la Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli alilolitoa wakati wa ziara yake Mkoani Kigoma tarehe 21 Juni, 2017 ambapo alisema kuwa wananchi wapatiwe maeneo katika sehemu walizokuwa wanalima msitu wa makere. Ruhusa ya kulima eneo hilo haimpi mwanchi kuvuka mipak.

Amewataka Wanasiasa waache kuwadnganya wananchi kuwa wao ndiyo waliomshawishi Rais kutoa eneo hilo "Hakuna mtu aliyemshawishi mhe. Rais kutoa eneo hilo kwa wananchi bali huo ni utashi wake na mapenzi yake kwa wananchi wa Kasulu hivyo waache kujitafutia umaarufu kwa kuwadanganya wananchi" alisema Maganga.

Ikumbukwe kuwa msitu wa Kagerankanda limekuwa likiharibiwa kwa shughuli za kilimo kutokana na ardhi ya eneo hilo kuwa na rutuba na hali ya kustawisha mazao kwa wingi na kwq uhakika. Tangu miaka ya 1990 hadi sasa eneo hili limekuwa likivamiwa na wananchi kiholela.

Amewaeleza kuwa baada ya kaati kumaliza kazi za kupima na kubaini mahitaji ya Ardhi kulingana na eneo litakalotolewa taratibu za kugawa zitazingatia sheria ya Ardhi namba 4 & 5 ya mwaka 1999.Ameagiza kwasasa eneo hilo lipo chini ya serikali, mwananchi haruhusiwi kujimilikisha maeneo hayo mpaka baada ya kugawiwa.

Wanachi wametahadharishwa kuwa baada ya kupata mgao wa maeneo mwananchi atakayevuka alama za mipaka zitakazowekwa serikali haitamvumilia. Ndugu zangu viongozi na wanasiasa tushirikiane kutoa elimu kwa wananchi, tuheshimu na kuthamini huruma na upendo wa Mhe. Rais kwa kuruhusu sehemu ya eneo la msitu wa Kagerankanda kugawiwa kwa wakulima wa kasulu. Kufuatia tamko la Mhe. Rais jumla ya ekari10 elfu zitagawiwa kutoka msitu wa Kagetankanda wenye jumla ya ekari 72 elfu kwa sasa.

Matumizi ya vibarua wanaajiriwa na watu wanaolima mashamba makubwa katika eneo la msitu Kagerankanda matokeo yake vibarua hao wanajipatia mashamba na kumiliki maeneo kinyume na utaratibu. Mhe. Mkuu wa Mkoa amewataka wanaotumia vibarua toka nje ya nchi kufuata taratibu kanuni na sheria kuwapata vibarua hao.

Maeneo yatatolewa kwa vijiii husika zinazozungunga eneo hilo, halmashaui na uongozi wa wilaya utazingatia vigezo na taratibu za kugawa. Kwa upande wao voongozi mbalimba wameeleza kuwa uvamizi wa msitu wa makere kweli unasababishwa na wanasiasa wanaojinadi kuwa wao ndiyo wanaoweza kushawishi msitu huo uweze kutumika kwa kilimo, wameiomba serikali iwasaidi kuwaonya wanasiasa wenye mawazo ya uharibifu wa rasilimali za Taifa.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AZINDUA RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA KIMKOA

    May 27, 2025
  • JAMII INAPASWA KUZINGATIA CHANJO KUJILINDA NA MARADHI

    May 20, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa