• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

ZAWADI ZA MHE. RAIS ZAGAWIWA KWA MAKUNDI MAALUM

Posted on: October 19th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma CGF (Mst) Thobias Andengenye, amegawa zawadi zilizotolewa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa makundi mbalimbali mara baada ya kuhitimisha ziara yake ya kikazi ya siku tatu mkoani hapa.

Kabla ya kugawa zawadi hizo, Mkuu huyo wa Mkoa alipata fursa ya kuzungumza na waumini wa madhehebu ya kiislam katika msikiti  wa Muumin uliopo Manispaa ya Kigoma-Ujiji, ambapo amesema  zawadi hizo zimeonyesha ni kwa jinsi gani Mhe. Rais anaguswa na kutambua uwepo wa makundi mbalimbali ya kijamii pamoja na maendeleo ya mkoa wa Kigoma.

Amesema Rais anaendelea kuweka mazingira yenye tija kwa maendeleo ya wanakigoma ambapo  meidhinisha  kufanyika kwa ujenzi wa Hospitali ya Kanda pamoja na Tawi la Chuo Kikuu Kishiriki cha Afya Muhimbili, ambavyo vitafungua fursa mbalimbali za kibiashara kutokana na kuongezeka kwa muingiliano wa  watu.

‘‘Nashauri wanakigoma mjiandae kuchangamkia fursa kuendana na mahitaji yatakayojitokeza mara baada ya kukamilika kwa miradi hiyo ili muweze  kujiinua kiuchumi’’ Amesema.

Akiwa katika Kituo cha kuwahudumia watoto waliokosa wazazi  na wenye changamoto za kimalezi Sanganigwa B, Mkuu wa Mkoa amesema mbali ya kutoa misaada hiyo kwa niaba ya Mhe. Rais, Serikali mkoani hapa itaendelea kutoa misaada mbalimbali  ili kuhakikisha watoto hao wanatimiza ndoto zao.

‘‘Nasisitiza mnaobeba jukumu la kuwalea watoto hawa, muwe mnawasimulia Historia mbalimbali za watu waliowahi kupitia mazingira kama wanayoyaishi kisha wakafanikiwa na kutimiza ndoto zao ili waweze kuamini katika kutimiza ndoto zao na kuongeza bidii bila kukatishwa tamaa’’

Pamoja na zawadi ya vifaa vya Ibada vilivyotolewa kwa Shehe Mkuu wa Mkoa katika Msikiti wa Muumin-Ujiji, zawadi nyingine zilizotolewa ni pamoja na vifaa vya kitaaluma, vyombo vya chakula, mafuta ya kula na mchele ambavyo pia vitaendelea kutolewa katika vituo vya Bangwe, MWOCACH, Makao ya wazee (Kibirizi), kituo cha JUVENILE pamoja Kituo cha watoto Matiazo.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC SIRRO AZINDUA ZOEZI LA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO KIMKOA

    July 03, 2025
  • JESHI LA UHAMIAJI KIGOMA LAPONGEZWA KATIKA KUKABILIANA NA WAHAMIAJI HARAMU

    June 23, 2025
  • MRADI WA BARABARA MWANDIGA KAGUNGA AWAMU YA KWANZA WAFIKIA 95%

    June 21, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA WAANZA KAMBI YA MATIBABU KIGOMA

    June 16, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa