• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

WAZIRI MPINA AAHIDI KUPAMBANA NA UVUVI HARAMU NCHINI

Posted on: October 27th, 2017


Kiamakikubwa kwa, wavuvi harama na waingizaji wa zana za uvuvi harama inakuja, Mhe. Waziri Luhaga Mpina ameyasema haya wakati wa Ziara yake ya kikazi Mkoani Kigoma mara baada ya kupokea taarifa ya Mkoa wa Kigoma kuhusu halialisi ya uvuvi katika ziwa Tanganyika.

Amesema aiwezekani vita ya uvuvi haramu inasemwa kila siku halafu haiishi “ hivi hii kama ni vita ni vita ya namna gani haina mwisho, mimi kama waziri mwenye zamana nasema siwezi kukubali nikishindwa nitajiondoa katika wadhifa huu”. Amesema Luhaga.

Ameeleza kabla ya hajajiondoa lazima wahusika wa uvuvi haramu na watendaji au mtu yeyote awaye mwenye kujihusisha na uvuvi haramu lazima amshughulikie ipasavyo. Hiwezekani serikali ipo, wataalam wapo na vyombo vya ulinzi vipo halafu tuendelee kuchezewa na watu wachache kwa maslai yao binafsi amesisitiza Mhe. waziri

Mbali na uvuvi haramu kuhatarisha upotevu wa mazalia ya viumbe vya majini, pia umekuwa chanzo kikubwa cha uhatarishi wa afya zetu, magonjwa ya kansa na moyo yanaongezeka kutokana na utumiaji wa sumu, baruti na mabomu kuvua vitoeo vya majini

Kwa kipindi cha mwaka 2016/2017 jumla ya Zana haramu zenye kukadiriwa kuwa na thamani ya Shillingi za Kitanzania 480,675,000 ziliteketezwa Mkoani Kigoma ambazo zilikamatwa mwambao wa Ziwa Tanganyika.

Zana hizo Kokoro 66, monofilament/timber 173, vyandarua (kokoro) 45, makila ya undersize 47, mitimbo 3, maboksi ya kuhifadhia samaki 8, Kamba Mita 22,500 na samaki wachanga zaidi ya kilo 720.

Mhe. Mkuu wa Mkoa amesisitiza kuwa serikali ya Mkoa itaedelea kulinda rasilimali za Ziwa Tanganyika kwa kusimamia uvuvi edelevu kwa vizazi vijavyo, amewatahhadharisha wavuvi na wanannchi kuepukana na vitenndo vya uvuvi haramu, ikumbukwe kuwa wavuvi wa zana zote wanapaswa kuzingatia Sheria na kanuni zilizowekwa ili kuhifadhi rasilimali ya uvuvi iwe endelevu na yenye manufaa kwa jamii nzima.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa