• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

WAZIRI DKT. CHANA AWASILI MKOANI KIGOMA KUZINDUA MPANGO WA USAJILI NA UTOAJI VYETI VYA KUZALIWA KWA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO

Posted on: October 2nd, 2023

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amewasili mkoani Kigoma na kupokelewa na Katibu Tawala Mkoa Albert Msovela kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, ambapo anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi kwenye Hafla ya Uzinduzi wa Mpango wa Usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto chini ya Umri wa miaka mitano mkoani hapa itakayofanyika Oktoba 3, 2023.

Akizungumza kwenye kikao kifupi cha kupokea Taarifa ya Maandalizi ya Uzinduzi huo, Waziri Dkt. Chana ameupongeza Uongozi wa mkoa kwa kufanikiwa kuendesha mchakato wa ushirikishaji Jamii kwa kuhusisha wadau na makundi mbalimbali kwa lengo la kutoa Elimu na kufikisha ujumbe uliolenga kufanikisha zoezi hilo mkoani hapa.

Waziri huyo amesisitiza kuwa, watendaji wa Serikali wanatakiwa kutanguliza weledi, uzalendo na umakini mkubwa katika kutekeleza zoezi hilo kutokana na baadhi ya wakazi wa nchi jirani kutumia fursa hiyo kama kigezo cha kuwapatia  watoto wao uraia wa Tanzania.

Akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Programu hiyo kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Dkt. Jesca Lebba amesema kuelekea uzinduzi huo vimefanyika vikao mbalimbali na uongozi wa RITA, Timu za Wataalam wa Mkoa, Kamati za Usalama Mkoa na Wilaya, Idara ya wakimbizi, Maafisa Ustawi wa Jamii mkoa na Halmashauri kwa lengo la kuwajengea uelewa pamoja namna bora ya kutekeleza majukumu yao kuhusiana na zoezi hilo.

Amefafanua kuwa, Mkoa umefanikiwa kutoa mafunzo kwa ajili ya wasaidizi kutoka ngazi za kata pamoja na vituo vya kutolea Huduma za Afya ambapo Jumla ya wasaidizi 544 wamefikiwa kwa lengo la kupatiwa maarifa ya utekelezaji wa zoezi.

Amesisitiza kuwa, katika kuhakikisha wanaifikia Jamii wameendelea kutumia vyombo vya Habari, mitandao ya kijamii, watu maarufu, taasisi za Umma pamoja na maeneo ya mikusanyika ya watu kwa lengo la kufikisha ujumbe kwa walengwa.

Hafla ya Uzinduzi wa Mpango wa usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto chini ya Miaka mitano kimkoa itafanyika katika Uwanja wa Community Centre uliopo Kata ya Mwanga Manispaa ya Kigoma Ujiji.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa