• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Wazee watakiwa kukemea maovu katika jamii

Posted on: March 1st, 2021

Mkuu wa mkoa ameyasema hayo wakati alipokutana na kuzungumza na makundi maalumu ya wazee na watu wenye uelemavu wa Mkoa wa Kigoma.

Mkuu wa Mkoa amewaomba watu ulemavu na wazee kukemea tabia za baadhi ya watu ambao wanaingia mitaani na kuwa ombaomba badala ya kujihangaisha kufanya kazi kwa kisingizio cha uelmavu na uzee.

“Tumieni fursa ya kuomba mikopo lakini mjitahidi kukopa kwa malengo kwani Serikali ya awamu ya tano chini ya Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzaia imeweka utaratibu mzuri wa kuwawezesha makundi maalumu wa kuwakopesha walemavu kuptia asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri; na sasa imeruhusu mikopo ya mtu mmoja mmoja tofauti na  awali ambapo ilikuwa hadi watu waunde kikundi”

Halmashauri kuzingatia maelekezo na maagizo ya Serikali ya kutoa asilimia 2 ya makusanyo ya ndani kwa watu wenye ulemavu,vijana na akinamama. Amesema sharia ya mikopo imeshabadirishwa kutoka kukopeshwa kikundi hadi kukopeshwa mtu mmoja mmoja mwenye sifa, “sitegemei kwamba kutakuwa na kisingizio kuwa hawana vikundi, ni wasumbufu, hawarejeshi a sababu nyinginezo zenye nia ya kukwepa Majukumu” alisama Andengeye.

Aliongeza kuwa Serikali ya Mkoa itafuatilia kujua kila Halmashauri ilipaswa kukopesha kiasi gani na wamekopesha asilimia ngapi kwa Watu Wenyee Ulemavu tofauti na hapo lazima wahusika waanze kuwajibishwa.

Kwa upande wa wataalamu Maafisa maendeleo ya jamii na Maafisa Ustawi wa Jamii amewataka kutoka ofisini na badala yake kwenda kuwatembelea makundi maalumu kujua changamoto zao na kuzitafutia majawabu. “pale inapoonekana hawakidhi vigezo vya mikopo kwa upande wa watu wenye ulemavu ninyi maafisa ni jukumu lenu kuona namna ya kuwasaidia ili wapate vigezo kama ni kuwashauri bishara za ili kujipatia kipato na kumudu maisha yao” alisisitiza


Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa