• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Wazee 1,050 wanufaika na Kadi za msamaha wa Matibabu bure Buhigwe

Posted on: August 31st, 2018

Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma imepongezwa kwa hatua ya kutekeleza zoezi la kuwatambua na kuwapatia kadi za matibabu bure wazee wenye umri kuanzia miaka 60 na wasio na uwezowa kuigharimia matibabu .

Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brig. Emanuel Maganga wakati wa kukabidhi kadi za matibabu bure kwa wazee kutoka katika kata 20 Wilayani Buhigwe, zoezi la ugawaji vitambulisho vya msamaha wa matibabu kwa wazee wasio jiweza ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wazee Duniani, ambayo huazimishwa kila tarehe mosi  Oktoba.

Niwapongeze uongozi wa Wilaya ya Buhigwe kwa kutekeleza agizo la serikali ambalo lipo kisheria na Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2015, ninamini vitambulisho vya msamaha wa matibabu wazee wasio jiweza vitawaondolea usumbufu waliokuwa wanapata wanapohitaji matibabu.

Maganga amezitaka Halmashauri zote Mkoani Kigoma,  kuhakikisha hadi mwisho wa mwaka 2018 ziwe zimeshafanya utambuzi wa wa Wazee kuwa na kanzi data na kuwagawia kadi za msamaha wa matibabu.


Awali akitoa taarifa ya utekelezaji wa zoezi hilo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Buhihwe Bw. Anosta Nyamogaalisema Wilaya ya Buhigwe katika mwaka 2017/2018 jumla ya wazee 14,993 walitambuliwa katika kata 20 zilizopo. Aidha, kati ya hao Wazee 11,152 sawa na asilimia 74 ya wazee wote ni hawajiwezi kiuchumi.

Ameongeza kuwa kwa kuanzia Halmashauri imeanza kwa kugawa kadi 10,050 kati ya 11,152 sawa na asilimia 9 ya utekelezaji katika awamu ya kwanza inayohusisha kata 10 , "zoezi hili ni endelevu kama sera na miongozo zinavyoelekeza

Kwa upande wao wawkilishi wa Wazee Wilayani Buhigwe wameishukuru Serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania kutambua kwamba wazee ni rasilimali na hazina kubwa katika maendeleo ya nchi.

Wazee hao wameiomba Serikali kuendelea kuzishughulikia changamoyo mbalimbali zinazowakabili katika jamii ikiwa ni pamoja na Sera ya wazee ya mwaka 2003 kuto fahamika na kutekelezwa, wazee kudharauliwa na kuto heshimiwa, kufanyiwa ukatili, kudhurumiwa mali, na  matunzo duni.

Aidha, wameeleza bado utaratibu wa kutoa huduma bure kwa wazee una mapungufu, kutoshirikishwa katika vyombo vya maamuzi, kutozingatiwa haki za wazee, uhaba wa wataalamu wa masuala ya wazee mfano maafisa Ustawi jamii.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa