• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

WAZAZI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA WALIMU KUDHIBITI UTORO MASHULENI

Posted on: October 10th, 2022

Baadhi ya wadau waliojitokeza kwenye Hafla fupi ya uzinduzi  wa vitabu vya Miongozo  ya Uboreshaji wa Elimu nchini uliofanyika katika Ukumbi wa NSSF-Kigoma.Utepe ukikatwa kuashiria uzinduzi wa vitabu vya Miongozo ya Uboreshaji wa Elimu nchini kwa Mkoa wa Kigoma.


Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mhe. Thobias Andengenye amewataka wazazi na walezi kushirikiana na walimu ili kutokomeza changamoto ya Utoro sugu mashuleni na kuimarisha maendeleo ya Elimu mkoani hapa.

Mkuu huyo wa Mkoa ametoa kauli hiyo kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa vitabu vya Miongozo ya Uboreshaji wa Elimu nchini, iliyofanyika katika Ukumbi wa NSSF Manispaa ya Mji Kigoma-Ujiji, mkoani hapa, vikiwa na lengo la kuboresha elimu kwa ngazi za Msingi na Sekondari.

Alisema wazazi waachane na dhana yakuwategemea walimu pekee katika kusimamia na kufuatilia mahudhurio pamoja na maendeleo ya wanafunzi kwa lengo la kudhibiti utoro na kuboresha maendeleo ya wanafuzi kitaaluma.

Andengenye alisema, ili kufanikisha mikakati mbalimbali ya maendeleo ya Elimu mkoani hapa, Jamii haina budi kushirikiana na Wataalam wa Idara ya Elimu kwa ngazi mbalimbali ili kufikia malengo ya kuinua Taaluma yanayondelea kuwekwa na Serikali.

‘‘Tumebaini kutoongezeka kwa ubora wa ufaulu katika Mkoa ambapo kupitia Mtihani wa Ukamilifu kwa Darasa la Saba uliofanyika mwezi Septemba 2022 ufaulu ulikuwa ni asilimia 47,  huku upande wa Sekondari waliofaulu kwa Daraja la I hadi la III ikiwa ni Asilimia 29, Daraja la IV Asilimia 45, huku waliofeli kabisa ikiwa ni Asilimia 27’’ alisema.

Naye Kaimu Afisa Elimu Mkoa wa Kigoma David Mwamalasi, alisema watendaji wanapaswa kuisimamia kwa ukamilifu na uadilifu miongozo hiyo ili iweze kuleta matokeo chanya kama ilivyokusudiwa na Serikali ili kuboresha Elimu katika mkoa huo.

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Dkt. Frorence Samizi, ameipongeza Serikali kwa kuendelea kutoa Fedha kwa ajili ya kugharimia miradi mbalimbali ya Elimu katika Jimbo lake pamoja na Mkoa wa Kigoma kwa ujumla.

Tutaendelea kushirikiana na walimu ili kuhakikisha malengo yanayowekwa na Serikali katika uboreshaji wa elimu yanafanikiwa'' alisema.

Miongozo mitatu iliyozinduliwa mkoani hapa ni Mwongozo Mkakati wa Kuimarisha Ufundishaji na Ujifunzaji Ngazi ya Elimu Msingi, Mwongozo wa kubainisha Changamoto katika uboreshaji Elimu Msingi na Sekondari, Mwongozo wa Uteuzi wa Viongozi wa Elimu katika Mamlaka za Serikali za Mitaa na Mikoa.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa