• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

WAVAMIZI HIFADHI ZA BARABARA WATAKIWA KUONDOKA

Posted on: July 20th, 2023

m

MKUU WA MKOA WA KIGOMA THOBIAS ANDENGENYE AKIZUNGUMZA NA WAJUMBE WA KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA KIGOMA (HAWAPO PICHANI) KILICHOFANYIKA JULAI 20, 2023 KATIKA UKUMBI WA NSSF MANISPAA YA KIGOMA UJIJI.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye ameongoza kikao cha Bodi ya Barabara ya Mkoa Leo Julai 20, 2023 kilichofanyika katika Ukumbi wa NSSF Manispaa ya Kigoma Ujiji.

Kupitia kikao hicho, Mkuu wa Mkoa wamewataka wakazi mkoani hapa kuheshimu mipaka ya maeneo Tengefu ya Hifadhi za Barabara kwa kutofanya shughuli za kibinaadamu katika Maeneo hayo.

‘’Kupitia Kikao hiki, nawaagiza Wakuu wa Wilaya, TANROADS pamoja na TARURA kuhakikisha hakuna Mwananchi anayejenga kwa ajili ya Makazi au Shughuli zozote za kibiashara’’ ameagiza.

Amefafanua kuwa, kuwaacha wananchi hao wakifanya Shughuli za kibinaadamu katika maeneo hayo kunachangia kusababisha Fidia na Madai yasiyokuwa ya Lazima Serikalini wanapotakiwa kupisha katika maeneo hayo katika Siku  zijazo pia ni hatari kwa usalama wao.

‘’nitoe wito kwa wananchi wanaoendelea kuzitumia hifadhi hizo za Barabara kwa shughuli zao kuondoka kwa hiyari badala ya kusubiri kulazimishwa kufanya hivyo na mamlaka za  kiserikali’’ amesisitiza Mkuu wa Mkoa.

Katika Hatua nyingine, Andengenye amewaagiza Viongozi wa TANROADS na TARURA  kutosita kuwachukulia Hatua wakandarasi wazembe watakaoshindwa kukamilisha Miradi wanayoitekeleza kwa wakati.

Katika hatua nyingine, Kiongozi huyo wa Mkoa ameisisitiza Mamlaka za Barabara vijijini na Mijini(TARURA) kuongeza kasi katika kupanua mitandao ya Barabara  maeneo ya vijijini kutokana na Shughuli nyingi za uzalishaji kufannyika katika Maeneo hayo.

Naye Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Mkoani  hapa(Kisez) Deogratius  Sangu, amezitaka Mamlaka hizo zinazohusika na Ujenzi wa Miundombinu ya Barabara kuweka mpango wa Ujenzi wa Barabara kwa kiwango cha Lami kuelekea lilipo eneo hilo ili kuendelea kuwavutia wawekezaji.

KATIBU TAWALA MKOA WA KIGOMA ALBERT MSOVELA, AKIZUNGUMZA NA WAJUMBE WA KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA KIGOMA.


Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa