• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

WATUMISHI IDARA YA ELIMU WASHAURIWA KUTUMIA MAFUNZO WANAYOYAPATA KUINUA UBORA WA TAALUMA

Posted on: November 29th, 2022


Watumishi wa Idara ya Elimu wametakiwa kutumia fursa ya mafunzo yanayotolewa na wadau wa Sekta hiyo kwa lengo la kuwajengea uwezo kwa kuongeza ufanisi katika utendaji kazi na kuleta matokeo chanya  kielimu mkoani hapa.

Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Afisa Elimu Mkoa wa Kigoma Hamimu Tambwe wakati akifungua mafunzo kwa Wataaluma na Maafisa Elimu Msingi, Wathibiti Ubora wa Elimu pamoja na Makatibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu ngazi ya Mkoa, yaliyolenga kuwajengea uelewa kuhusu Hadithi za Mafanikio ya Kujifunza ili kuboresha zoezi la ufundishaji na ujifunzaji.

‘‘Wadau wa Elimu wanafadhili miradi mbalimbali ya kielimu kwa lengo la kuinua ubora wa elimu yetu hivyo tunapaswa tuutumie ufadhili na misaada hiyo katikakuoresha kiwango chetu cha elimu’’ amesema Tambwe.

Mratibu msaidizi wa Mradi wa Shule Bora (TAMISEMI)Bi. Adelaida Pangani, amesema  mafunzo hayo yanatolewa kwa viongozi hao wa kitaaluma kwa lengo la kuwajengea uelewa ili waweze kufuatilia maendeleo ya utekelezaji kwa watendaji wa Darasani ambao ni Walimu wakuu, walimu wa taaluma pamoja na walimu mahiri.

‘‘Tunawajengea uwezo wakuu wa Idara na vitengo vya kielimu ili wakati wa utekelezaji wa mradi huu shuleni kuwepo na usimamizi mzuri pamoja na ushirikiano  baina ya watendaji  na wasimamizi’’ amesema Bi. Adelaida.

Mafunzo hayo yamelenga  kuimarisha  mbinu za ufundishaji na ujifunzaji ili kuboresha Taaluma mkoani Kigoma na maeneo mengine ambayo mradi wa Shule Bora unatekelezwa.

Hadithi za Mafanikio za kujifunza  za mfano  ni hadithi  thibitisho  ambazo  huelezea mabadiliko  chanya kuonesha  jinsi mabadiliko  hayo yanavyomnufaisha  mjifunzaji. Pia huboresha tija na ufanisi katika ufundishaji wa Mwalimu

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa