• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

WATENDAJI WA SERIKALI WATAKIWA KUONGEZA UBUNIFU KATIKA KUBAINI NA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANANCHI

Posted on: June 3rd, 2024


MKUU WA MKOA WA KIGOMA MHE. THOBIAS ANDENGENYE(KUSHOTO) AKIMTWISHA NDOO YA MAJI MKAZI WA KIJIJI CHA BIHARU (JINA HALIKUPATIKANA) MARA BAADA YA KUTEMBELEA KISIMA KILICHOFANYIWA MABORESHO KUPITIA MRADI WA TASAF KATIKA KIJIJI HICHO.

Watendaji wa serikali mkoani Kigoma wametakiwa kuongeza ubunifu katika kuibua changamoto zinazowakabili wananchi kisha kutumia fedha zinazotolewa na serikali pamoja na rasilimali mbali mbali zilizopo katika jamii kutatua kero za wananchi kwenye maeneo yao ya utendaji kazi.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye alipozungumza na wakazi katika kijiji cha Biharu alipokuwa akikagua utekelezaji wa miradi chini ya mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) katika Halmashauri ya Buhigwe na kusisitiza kuwa, watendaji wa Serikali wanatakiwa kutekeleza majukumu kwa kiwango kitakacho acha alama kwa wananchi wanaowahudumia.

Amesema wataalam wanatakiwa kushirikiana kwa ukaribu na wananchi ili waweze kuibua changamoto zao hususani katika upatikanaji wa huduma za kijamii na kutumia vizuri rasilimali zilizopo ili kuwaondolea kero wakazi mkoani humo.

Kupitia fedha inayoekekezwa kwa walengwa hao kwa lengo la kutekeleza miradi ya kijamii katika kijiji cha Biharu,  mradi umefanikiwa kuboresha vyanzo vitatu vya Maji  kwa kuvijengea pamoja na kusafisha mazingira yanayovizunguuka ili kuhakikisha wakazi wanapata maji safi.

Aidha katika kijiji hicho shughuli nyingine zinazotekelezwa na walengwa hao ni pamoja na kuanzisha vikundi vya kuweka na kukopa, ufugaji sambamba na Kilimo cha mazao ya chakula.

Felesia Issaya mkazi wa kijiji cha Biharu ambaye pia ni mnufaika wa mradi huo, anasema uboreshaji wa vyanzo vya maji katika vitongoji vya Kaguruka, Kagunga na lulema vilivyopo kijijini hapo umewaondolea changamoto ya kuwaepusha kutumia maji pamoja na mifugo.

‘’Kwa sasa kila chanzo kimewekewa barabara ya kuingilia kwa watumiaji, uwekaji wa bomba la kutolea maji kwenye visima pamoja na utunzaji wa mazingira katika maeneo ya vyanzo’’ amesema Felisia.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa