• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

WATENDAJI WA SERIKALI WAHIMIZWA KUONGEZA KASI KATIKA KUFUATILIA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: January 20th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amewasisitiza watendaji wa Serikali mkoani hapa kuongeza kasi katika kufuatilia na kusimamia fedha zinazotolewa na Serikali kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ili ziweze kutumika ilivyokusudiwa katika kuwaletea wananchi Maendeleo wananchi.

Maelekezo hayo ameyatoa leo Januari 20, 2024 alipozungumza wakati akifungua kikao cha Kuwasilisha na kufanya Uchambuzi wa Bajeti ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kigoma.

Aidha kiongozi huyo wa Mkoa amewakumbusha watendaji hao kuongeza ushirikiano katika utendaji kazi wao jambo litakalosaidia kuongeza ufanisi na kurahisisha jukumu la kutoa huduma kwa wananchi ili kuongeza kasi ya Maendeleo ya Mkoa.

Viongozi, mojawapo ya jukumu lenu ni kuhakikisha watendaji walio chini yenu mnawajengea uwezo ili waweze kujiamini na kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi’’ amesema Andengenye.

Kupitia kikao hicho Mkuu huyo wa Mkoa amemshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu kwa kuendelea kuelekeza kiasi kikubwa cha Fedha mkoani hapa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo  jambo linaloendelea kuthibitisha dhamira yake katika kuufungua mkoa na kuufanya kuwa kitovu cha kiuchumi katika ukanda wa magharibi.

Upande wake katibu Tawala mkoa wa Kigoma Albert Msovela amewasisitiza watendaji hao kuhakikisha wanatoa taarifa za mara kwa mara kuhusu hatua mbalimbali zinazofikiwa katika kazi za utekelezaji wa miradi katika maeneo yao.

‘’Niwasisitize kutoa taarifa za kila hatua mnayofikia katika utekelezaji wa kazi za miradi ya maendeleo, hii itasaidia kupata ushauri na kuondoa mikwamo kwa haraka kabla haijaathiri utendaji mzima wa kazi’’ amesema Msovela.

Kikao hicho kimehudhuriwa na wakuu wa wilaya, wakuu wa Idara na Sehemu kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, makatibu Tawala (w), wakurugenzi wa Halmashauri pamoja na maafisa mipango wa Halmashauri nane za Mkoa.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa