• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

WATENDAJI NA MADIWANI WATAKIWA KUZINGATIA MIPANGO YA UENDELEZWAJI MIJI

Posted on: October 23rd, 2017


Madiwani na watendaji katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wametakiwa kutimiza na kuzingatia masula ya kitaalamu ya Mpango Mkakati wa maendeleo wa Mji wa Kigoma Ujiji, kwa kuzingatia sheria, ufanisi na kutopindisha mipango jambo linalosababisha migogoro isiyo ya lazima.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Brigedia Jenerali (mst.) Emmanuel Maganga wakati wa Mkutano Mkuu wa wadau wa Mji wa Kigoma Ujiji wa Mpango Kabambe wa Maendeleo ya Manispaa hiyo.

Maganga Amesema mpango huu siyo wa kisiasa bali unalenga kuleta tija kwa wakaI wa Mji wa Kigoma Ujiji hivyo tunapaswa kuutekeleza kwa ufanisi mkubwa. Tuwasaidie wananchi kuondoa kero za migogoro ya ardhi.

Ameongeza kuwa watendaji wa serikali kwa miaka iliyopita wamesababisha migogoro mingi ya ardhi kutokana na kutokuzingatia taratibu na sheria, kufanya kazi kwa kukuika mipango kazi ya maendeleo ya Mjiji iliyokuwepo hapo awali.

Aidha upande wa wananchi Brigedia Maganga amewataka waachenkuuziana nankununua mawneo bila kufuata taratibu za ardhi jambo ambalo linaweza kuwaingizia hasara za kutapeliwa ama kubomolewa majengo yao na serikali." Kuwa na fedha himaniniishinunawezankujenga popote bila kufuata utaratibu nawaomba wananchi wa Kigoma mlielewe hili" aliongeza Maganga.

Nao wadau mnalimbali walooshiriki katika mkutano huo wametoa maonia yao kwa kusisitiza elimu ya uelewa juu ya masuala ya ardhi inahitajika, kwani bila uelewa wa wananchi bado tatizo la migogoro ya Ardhi litaendelea kuwepo. Wananchi wanatakiwa kuelimishwa hatua zote za upatikanaji wa ardhi namna ya kuuza/kununua ili kuepuka watu zaidi ya mmoja kununua kiwanja kimoja au kununua maeneo ya wazi.

Mpango wa maendeleo wa Mji wa Kigoma Ujiji 2017-2037 umelenga kuboresha Mji kwa kuondoa tatizo la ukuaji wa mji, ujenzi holela na uvamizi wa maeneo ya uwekezaji na yale ya wazi. Aidha mpango huu utaugharisha mji wa kigoma ambao unatajwa kuwa ni Mji wa Kimkakati kutokana na fursa mbalimbali za kibiashara, kilimo, na viwanda ambapo katika Nchi za Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Zambia, Mji wa Kigoma ndiyo Lango kuu katika nyanja mbalimbali kiuchumi.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa