• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Watakiwa kutumia vizuri mikopo kujikwamua kiuchumi

Posted on: June 28th, 2019

Wanufaika wa Mikopo katika Halmshauri watakiwa kuitumia vizuri.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brig.Jen. Emmanuel Maganga amewataka wanufaika wa Mikopo inayotolewa na Halmashauri kuhakikisha wanatumia mikopo hiyo kwa kutekeleza malengo waliyojiwekea na kufanya marejesho kwa wakati ili vikundi vingine viweze kunufaika.

Mhe. Maganga amesema hayo wakati akikabidhi hundi ya mkopo ya Shilingi Milioni 85 kwa vikundi vya wanawake, Vijana na Walemavu zilizotolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza.

Ninawaomba mikopo hii mnayopata kwenda kuitumia kwa malengo ya kikundi mliyojiwekea. Kumekuwwepo na tabia ya baadhi ya vikundi wanapopewa mikopo hii hubadiri mawazo na malengo ya kikundi na kuamua kuzigawana fedha kwa matumizi binafsi,kumbukebi fedha hii haina riba, Serikali imeamua kuweka sheria hii ya Halmshauri kutoa asilimia 10 ya makusanyo ya mapato ya ndani ya kila mwezi ili kuwawezesha wananchi kujikwamua kiuchumi, na njia nzuri ya ilionekana kupitia vikundi na siyo mtu mmoja mmoja.amesisitiza Maganga.

Akitoa taarifa ya utoaji wa mikopo katika Wilaya ya Uvinza Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mhe. Mwanamvua Mrindoko amemweleza Mkuu wa Mkoa kuwa hadi sasa Halmahsuri meshatoa shilingi milioni 92.1 tangu mwaka wa fedha uanze sawa na asilimia 98 ya lengo la Mwaka.

Aidha, Mhe. Mrindoko amewasisitiza Vijana, akinamana na Walemavu kujiunga kwenye vikundi na kutengeneza malengo yao ya kiuchumi ili waweze kukopeshwa kwani ni haki yao kupata mikopo hiyo.

utoaji wa mikopo hii ni utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama ha Mapinduzi ya Mwaka 2015 Ili kuhakikisha watu wenye ulemavu wanawezeshwa kiuchumi, Serikali inatoa mikopo ya asilimia 10 zinazotokana na mapato ya ndani ya halmashauri ambapo mipango yote ya uwezeshaji kiuchumi inawajumuisha pia vijana, Kinamama na watu wenye ulemavu

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa