• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

WATAALAM WATAKIWA KUTUMIA MFUMO WA NeST KUDHIBITI UBADHIRIFU

Posted on: September 2nd, 2023

Wataalam 44 kutoka katika Idara na Vitengo vya Halmashauri nane za Mkoa wa  Kigoma wametakiwa kutumia ujuzi walioupata kupitia mafunzo ya Mfumo mpya wa Ununuzi Serikalini (NeST) kwenda kudhibiti manunuzi holela yanayosababisha uwepo kwa mianya ya rushwa na ubadhilifu wa Fedha katika maeneo ya kiutumishi.

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma Frank Makua ametoa Kauli hiyo wakati akifunga mafunzo hayo na kusisitiza kuwa, ufanisi wao utasaidia kuzuia Serikali kupata hasara na kuimarisha utoaji wa Huduma bora kwa Umma.

Makua amesema Serikali ilibaini dosari mbalimbali katika kusimamia mifumo na taratibu za ununuzi katika Sekta za Umma, jambo lililochangia kutopatikana kwa usawa na utimilifu katika utoaji huduma zinazoendana na Thamani ya Fedha inayotolewa.

‘’Nasisitiza mtumie mafunzo haya katika kulinda ubora wa Huduma zinazotakiwa kutolewa na Serikali kwa Wananchi, hivyo mkawe walimu na mabalozi wazuri katika matumizi ya mfumo huu’’ amesisitiza’’

‘’Tumepokea zaidi ya Bil. 19 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya Maendeleo kwa Mwaka 2023/2024, niwasisitize kuwa, fedha zote zinazotakiwa kwa ajili ya utekelezaji wa kazi hizo zipitie Mfumo wa NeST kama ilivyoagizwa na Serikali’’ ameendelea kusisitiza Makua.

Upande wake Kaimu Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Mkoa Ashura Sadick amesema wakuu hao wa Idara na Vitengo wanapaswa kushirikiana na wazabuni ili kujenga mazingira rafiki ya kufanikisha matumizi ya mfumo huo wa manunuzi.

Aidha, Ashura amesisitiza kuwa Kitengo chake kitakuwa Tayari nyakati zote kutoa msaada wa kitaalam ili utendaji kazi wa mfumo uweze kutoa huduma nyakati zote ili kuwaepushia watoa huduma na wapokeaji kutokwama kufikia malengo yao.

Kadhalika baadhi ya wataalam hao kutoka Halmashauri wameonesha kuelewa na kuridhishwa na utaratibu uliotumika kutoa mafunzo hayo, huku wakisistiza uwepo wa mawasiliano ya karibu baina ya wasimamizi wa mfumo ili zinapotokea changamoto ndogondogo ziweze kupatiwa ufumbuzi kwa wakati na kutozorotesha utoaji wa Huduma kwa wananchi.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa