• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Wanaume wahamasishwa kupima VVU Mkoani Kigoma

Posted on: September 7th, 2018

Wanaume Wahamasishwa kupima VVU

Mkuu wa Mkoa Mhe. Brig. Jen. (Mst.)  Emmanuel Maganga ametoa wito kwa watu Mkoani Kigoma hususan wanaume, kujitokeza kwa wingi kupima VVU na kufahamu hali zao ili wanapogundulika na VVU waweze kuanza kutumia dawa za kufubaza VVU mara wanapogundulika na maambukizo.

Maganga ameyasema hayo wakati wa Uzinduzi wa kampeni iliyozinduliwa kimkoa Wilayani Uvinza katika Tarafa ya  Nguruka ya kuhamasisha wananchi hususan wanaume kupima VVU na kuanza kutumia dawa mapema. Amewasihi wanaume kuacha tabia ya kumsindikiza mama akipima yeye pekee nasi tunadhani tupo sawa.

Akielezea madhumuni ya kampeni hiyo kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt. Hosea amesema Kamapeni hiyo ya kitaifa yenye kauli mbiu“Furaha Yangu – Pima, Jitambue, Ishi”.  Inaweka mkazo na kuhamasisha zaidi Wanaume kupima ili kutambua hali zao za maambukizo ya VVU.  Hivyo, mpango huu una lengo la kumwanzishia dawa za ARV kila mtu aliye na maambukizo ya VVU ili aweze kuishi maisha ya furaha bila kuwa na hofu ya kupata magonjwa nyemelezi.

Aidha amazitaka Halmashauri Mkoani humo kwa kushirikiana na wadau wa mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI kufanya kampeni ya upimaji kwa wanaume mfululizo ili hadi mwezi Desemba mwaka huu 2018   wakati wa Maadhimisho ya siku ya UKIMWI, kuweza kupata halihalisi ya maambukizi katika Mkoa wa Kigoma.

“Wakuu wa  Wilaya kwa kusaidiana na Wakurugenzi wa Halmashauri simamieni kampeni hii kwa uzito unaostahili, pia anzisheni mpango wa kuendesha upimaji kila panapokuwepo mikusanyiko katika Wilaya zenu” amesisitiza Mkuu wa Mkoa.

 Ili kuendelea kupambana na maambukizi Mkoani Kigoma Halmashauri na Idara ya Afya zimeshauriwa kuhakikisha zinawatumia vyema Watu wanaoishi na VVU (WAVIU), hasa waliojiweka wazi hali zao, kuwahamasisha watu wanaorudi nyuma katika matumizi ya dawa za kufubaza (ARV). Nchini Tanzania

Hamasa miongoni mwa wananchi na hasa wanaume katika kuziendea huduma za upimaji wa VVU nchini bado  ni ya kiwango cha chini Matokeo ya awali ya Utafiti uliofanyika katika ngazi ya kaya kuanzia mwezi Oktoba 2016 hadi Agosti 2017, yanaonesha ni asilimia 52.2  tu ya wanaoishi na VVU wenye umri wa miaka 15 – 64 walitoa taarifa kuwa wanajua hali zao za maambukizo ya VVU, (Wanawake  ni asilimia 55.9 na Wanaume  ni asilimia 45.3) WAVIU wa umri wa miakan 15-64 walitoa taarifa ya hali zao.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa