• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Wananchi Kasulu Wapongeza Juhudi za Serikali kuboresha Afya

Posted on: August 11th, 2018

Wananchi wa Kijiji cha Nyamidaho Tarafa ya Makere Wilayani Kasulu Wameishukuru Serikali ya awamu ya tano kwa kuwajengea kituo cha Afya cha Kisasa kitakachohudumia takribani watu 176212 wa Tarafa ya Makere .

Wananchi wameelezea  kufurahishwa na hatua ya Serikali ya awamu ya tano kwa kutenga fedha kwaajli ya kuboresha Afya katika. Wakisoma risala yao mbele ya Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brig. Jen. Mst. Emanuel Maganga wamesema awafikishie Salam zao za upendo kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli.


Akiweka jiwe la Msingi katika Kituo cha Afya Nyamidaho Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brig. Jen. (Mst.) Emanuel Maganga amewasifu wananchi kwa kushirikiana na Serikali katika kutekeleza ukarabati na ujenzi wa miundombinu ya Kituo cha Afya cha Nyamidaho.

Katika Taarifa iliyosomwana Mkurugeni wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Vijijini Mhandisi Godfrey Kasekenya imeeleza kuwa serikali kuu ilitoa Tshs milioni 500 kwaajili ya ukarabati wa kituo hicho cha afya,lakini kwa kutumia Force Account wamefanikiwa kujenga Jengo la Wagonjwa wa nje OPD ambapo mchangonwa nguvu za wananch ulikuwa 37,800,00


Jumla ya Tshs 537,800,000 zimetumika katika Ukarabati wa Kituo cha Afya cha Nyamidaho pamoja na Ujenzi wa majengo sita ikiwemo Wodi ya akinamama Wajawazito na watoto wachanga, jengo la kuhifadhia maiti, maabara, jengo la Upasuaji pamoja na wagonjwa wa nje. Aidha miundombinu mingine iliyojengwa ni nyumba ya Mganga, pia ukarabati wa nyumba za watumishi nanmiundombinu ya maji.


Aidha Mhe. Mkuu wa Mkoa amewa kuwakumbusha na kuwahimiza wananchi kujiunga na Bima ya Afya ili waweze sasa kufaidi uwepo wa kituo cha afya katika karibu yao. "Wananchi jiungeni na mfuko wa Bima ya Afya ili kuokoa gharama za matibabu. CHF iliyoboreshwa imeweka utaratibu mzuri wa matibabu ambapo sasa inaruhusu mfumo wa rufaa kutoka ngazi za chini za kutolea huduma hadi ngazi ya Mkoa tofauti na utaratibu wa zamani uliowezesha mgonjwa kupata huduma kwenye kituo kimoja kilicho karibu na mgonjwa, bali itawasaidia sana katika kupata huduma za afya kwa gharama nafuu" amesisitiza Mhe. Mkuu wa Mkoa.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa