• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Walimu 635 Wapatiwa Mafunzo

Posted on: March 23rd, 2017

Takribani Walimu 635 wamepatiwa mafunzo ya uwezeshaji wa Walimu elimu ya awali katika Mkoa wa Kigoma. Mafunzo hayo kabilishi yanahusu Mtaala wa Elimu ya awali ulioboreshwa mwaka 2016 ambao utaanza kutumika rasmi mwaka 2017. Mtaala huu unasisitiza ujenzi wa umahiri kwa mtoto na unawezesha kutawala na kupambana na changamoto katika mazingira yake. Kupitia Mtaala huu Walimu wataweza kujenga umahiri katika kutekeleza Mtaala husika ili kufikia lengo la Serikali la kutoa Elimu bora kuanzia ngazi ya Elimu ya awali hadi Elimu ya Juu. Kuimarika kwa ufundishaji na ujifunzaji katika ngazi ya elimu ya awali kutajengea watoto utayari wa kujifunza na hivyo kurahisisha uelewa wao katika ngazi zingine za Elimu. Akizungumza katika hotuba ya ufunguzi wa mafunzo hayo Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brigedia Jenerali Emmanuel Maganga amesema mafunzo hayo muhimu kwa Walimu wanaofundisa elimu ya awali yatawajengea uelewa mzuri wa Mtaala wa Elimu ya awali kabla ya kwenda kutekeleza mtaala huo, kuwawezesha kuchambua mtaala wa Elimu ya Awali na kupata mbinu za kufundishia elimu ya awali ili kuweza kuwa na mbinu bora na uwezo wa kuimarisha ujenzi wa umahiri katika maeneo ya ujifunzaji yanayojikita katika Kuhusiana, Kuwasiliana, Kumudu stadi za kisanii, kutumia dhana za kihisabati, kutunza afya na kutunza mazingira wakati wa mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji. Brigedia Jeneral Maganga ameishukuru na kuipongeza Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) pamoja na Mpango wa LANES kwa kuchukua hatua hii muhimu ya kuandaa mafunzo kabilishi kwa walimu wanaofundisha watoto wa Elimu ya Awali. Lengo la Serikali ya Awamu ya Tano ni kutoa elimu bora katika kila ngazi ya elimu kwa kuhakikisha mazingira bora ya kufundishia na kujifunzia shuleni, elimu inayonuia kuwaandaa vijana watakao endana na nchi ya viwanda, wasomi watakaojenga na kuendeleza Uchumi wa Taifa.


Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa