• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Wakumbushwa kumuenzi Mwl. Nyerere kwa Vitendo

Posted on: October 12th, 2018

Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Kigoma wamekumbushwa kumuenzi Baba wa Taifa hayati Julius Kambarage Nyerere kwa kutenda yale aliyoyaishi enzi za uhai wake.

Haya yameelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brig. Jen. (Mst) Emmanuel Maganga aliyekuwa mgeni rasmi wakati wa kupokea msafara wa  Matembezi ya hiari ya Wananchama wa CCM Mkoani Kigoma yenye lengo  kumuenzi Baba wa Taifa Mwl. Julius K. Nyerere.

Akihutubia wananchama hao Mkuu wa Mkoa Maganga amewakumbusha mambo mbalimbali ambayo hayati Baba wa Taifa aliyapenda na ambayo aliyachukia “Niwakumbushe tu mambo machache ambayo na sisi kama wanachama na Viongozi tunapaswa kuyaishi ili kumuenzi Baba wa Taifa”.

Mwl. Alikuwa mzalendo wa kweli na alisisitiza Uzalendo kwa watanzania, tudumishe uzalendo kwa Nchi yetu.

Katika kuwatumikia wananchi mwl. Alisisitiza sana uadilifu kwa Viongozi katika kuwatumikia wananchi

Mwl.alipenda kila mtu awe huru kutoka katika utumwa ndiyo maana alipigania Uhuru wa Tanganyika, hata nchi nyingine za kusini mwa Afrika alitumia rasilimali za nchi ili tu kuwasaidia wawe huru, hakupendezwa na manyanyaso ya aina yoyote. Alisisitiza sana Kujitegemea kuwa Uhuru Kiuchumi na Kisiasa

Mwl alipenda umoja, na ili kujenga umoja wetu alisisitiza Lugha ya Kiswahili kitumike kuwaunganisha watanzania wote, kuleta mshikamano na kudumisha Amani katika jamii ya watanzania.

Mwl. Aliichukia rushwa na kuipiga vita vikali, hakuwa Rafiki wa watu wenye uchu wa mali na madaraka, kwani alijua kabisa vyote hivyo ni kinyume cha haki za mwanadamu na huvuruga demeokrasia. Katika maisha haya tumuenzi Baba yetu wa Taifa kwa vitendo ndipo tutakuwatumempa heshma, amemalizia Mkuu wa Mkoa.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AZINDUA RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA KIMKOA

    May 27, 2025
  • JAMII INAPASWA KUZINGATIA CHANJO KUJILINDA NA MARADHI

    May 20, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa