• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

WAKIMBIZI WA MWAKA 1972 KUTOKA BURUNDI KUANZA KUHAKIKIWA MKOANI KIGOMA

Posted on: November 24th, 2017

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeamua kuanza mchakato wa kumalizia uhakiki, uandikishaji na utambuzi wa nia ya wakimbizi kutoka Burundi wanaoishi katika vijiji mbalimbali Mkoani Kigoma, ambao waliandikishwa mwaka 2010.

Jumla ya wakimbizi 22,477 kutoka Burundi walisajiliwa mwaka 2010 ikiwa ni hatua ya kuwatambua na kuanza mchakato wa kutafta suluhisho la kudumu la wakimbizi hao wenye takribani miaka 35 wakiwa wanaishi Moani Kigoma na maeneo mengine nchini Tanzania Tanzania.

Akizungumza wakati wa kufungua warsha ya mafunzo kwa maaafisa na viongozi kutoka ngazi mbalimbali serikalini na shirika la kuhudumia wakimbizi duniani UNHCR, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali Emanuel Maganga amesema zoezi litawahusu wakimbizi wa kutoka Burundi Burundi wenye asili ya vijiji vya Mkoa wa Kigoma na wanaoishi Ndani na nje ya Mkoa wasio na Suluhisho la Kudumu juu ya ukimbizi wao Nchini Tanzania.

Amesema zoezi hili  litasaidia kupata tarifa zao kamili na kusaidia kupata maamuzi ya msingi ya mchakato wa kutafuta suluhuisho la kudumu kwa kundi la wakimbizi wa mwaka 1972.

Naye Mkurugenzi msaidizi kutoka Wizara ya mambo ya Ndani Idara ya Wakimbizi Suleiman Mziray amesema zoezi hili huenda likawa ni fursa ya mwisho kutolewa na serikali ya Tanzania kwa wakimbizi wa mwaka 1972 kutoka Burundi wenye asili ya vijiji vya Mkoa wa Kigoma nchini Tanzania, ambao hawajapata suluhisho la kudumu.

Zoezi kama hili lilifanyika mwaka 2007 ambapo wakimbizi wapatao 162156 walipatiwa urai wa Tanzania na wakimbizi takribani 53000 walirudishwa  kwa hiari katika nchi yao ya asili.

Mnamo 1972, Tanzania ilipokea maelfu ya wakimbizi kutoka Burundi na ndani ya nchi iliwaweka katika makazi matatu ya Katumba, Mishamo na Ulyankulu inayojulikana kama Makazi ya Kale. Miji miwili Katumba na Mishamo ni katika Mkoa wa Katavi wakati Ulyankulu iko katika Mkoa wa Tabora. Wengine wakimbizi kutoka kesi hiyo hiyo walikuwa wamewekwa katika vijiji vya Mkoa wa Kigoma. Baadaye, baadhi ya wakimbizi kutoka miji yote na Kigoma walihamia kuishi mahali pengine nchini Tanzania.

Serikali ya Tanzania, kwa kushirikiana na UNHCR ilifanya sensa ya idadi ya wakimbizi wa 1972 kati ya Julai na Septemba 2007 ambapo baadhi ya wakimbizi 218,234 wa Burundi wa mwaka 1972 waliandikishwa. Wakati wa usajili, wakimbizi waliulizwa kuhusu suluhisho ambalo walipendelea kati ya kurudi kwa hiari na asili na ushirikiano wa kudumu nchini Tanzania.

Matokeo ya usajili yalionyesha kuwa asilimia 20 ya wakimbizi walipenda kurudia Burundi wakati wengine 80% walipendelea kuomba asili kama Watanzania.


Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa