• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

WAKAZI WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA MAGONJWA YA MLIPUKO

Posted on: October 25th, 2022

Wakazi Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari na kujikinga dhidi ya maambukizi ya Magonjwa mbalimbali ya mlipuko yanayoripotiwa kujitokeza ndani ya Mkoa pamoja na Nchi jirani.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye ametoa kauli hiyo leo Tarehe 25 Oktoba 2022 wakati akifungua kikao cha Kamati ya Afya ya Msingi Mkoa na kusisitiza kuwa, wananchi wanatakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya maradhi ya Surua na Kipindupindu yaliyoripotiwa kuwepo mkoani hapa pamoja na ugonjwa wa Ebola uliopo nchi jirani ya Uganda.

‘‘Mkoa wa Kigoma unamuingiliano mkubwa na wageni kutoka nchi za jirani ikiwemo Nchi ya Uganda kupitia mkoa wa Kagera, hivyo wananchi mnatakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Ebola na iwapo mtabaini dalili zozote za ugonjwa huo taarifa zitolewe  mapema ili kupunguza madhara makubwa yanayoweza kujitokeza katika jamii’’ alisema Andengenye.

Aidha Mkuu wa Mkoa amezungumzia maendeleo ya utoaji chanjo ya UVIKO 19 kimkoa na kufafanua kuwa, Mkoa umefanya vizuri katika Sula la utoaji wa Chanjo hiyo huku matarajio yakiwa ni kuwafikia walengwa wote  1,375,735 ikiwa ni sawa na Asilimia 100 ya Wananchi wote wenye umri wa miaka 18 na kuendelea, ifikapo Tarehe 31 Desemba 2022.

‘‘Mpaka sasa tumefanikiwa kutoa chanjo  jumla ya walengwa 1,265,274, sawa na Asilimia  92, huku lengo la kampeni likiwa ni kuchanja  walengwa 110,458 ili tuweze  kufikia Asilimia 100 ya walengwa wote’’ alisema Andengenye.

Mkuu huyo wa Mkoa ametoa Rai kwa  viongozi wa Serikali, dini,  Kamati za Ulinzi na Usalama, wanahabari, wasanii na wawakilishi mbalimbali wa makundi ya kijamii kuendelea kuhamasisha wananchi katika maeneo yao ili waweze kujitokeza na kupata chanjo kwa lengo la kujikinga dhidi ya UVIKO 19.

Awali akimkaribisha Mkuu wa Mkoa kufungua kikao hicho, Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt. Jesca Lebba, amesema Idara ya Afya imeendele kutekeleza Kampeni mbalimbali za kupambana na kudhibiti Maradhi ya Mlipuko ikiwemo kipindumbindu, Surua pamoja na kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Ebola.

‘‘Mpaka sasa tumefanikiwa kuchanja Asilimia 95 ya walengwa wa chanjo ya UVIKO, huku tukiendelea kuchukua tahadahri dhidi ya ugonjwa wa Surua. Aidha kwa upande wa Ebola, Mkoa hauna changamoto hiyo japo tumejiandaa kwa kuchukua tahadhari na kutenga maeneo ya kukabiliana na  ugonjwa huo iwapo utabainika kujitokeza’’ Alisema Dkt . Lebba.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa