• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Wafugaji kuondolewa katika Pori la Hifadhi Muyowosi

Posted on: August 11th, 2018

Serikali ya Mkoa wa Kigoma inatarjia kufanya operesheni ya kuwaondoa Wafugaji waliopo katika Pori la akiba la Kigosi Muyowosi lililopo Wilayani Kibondo ili kunusuru uhifadhi wa pori hilo pamoja na wanyama wanaopatikana humo.

Maamuzi haya yametolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma alipofanya kikao cha Kamati ya Ulinzi ya Wilaya ya Kibondo pamoja na Viongozi mbalimbali wa Wilaya za Kibondo, na Uvinza kikichoketi kuangalia namna ya kuanza operesheni ya kuondoa mifugo katika maeneo ya hifadhi.

Amesema Mkuu wa Mkoa Maganga kuwa hivi karibuni, Mheshimiwa Waziri wa Maliasili na Utaliii alipofanya Ziara ya Kikazi Mkoani Kigoma mara baada ya kutembelea pori hilo alijionea uharibifu unaofnywa kutikana na uwepo wa mifugo mingiambapo liltolewa agizo wafugaji hao kuondoka mara moja ndani ya Siku saba.

Kimsingi wafugaji waliopo pori la Muyowosi wanapaswa kuondoka haraka wasingoje tuwaondoe kwani taarifa zinaonesha tangu mwaka 2003 wafugaji hao walilipwa fidia na kutafutiwa eneo la kwenda hata hivyo wachache waliendelea kubaki hadi leo kinyume na sheria, sisi tutaenda kuwaondoa, wale walioanza kuondoa nawpongeza kwa hatua hiyo ya kutii maagizo ya serikali. Amesisitiza Maganga.

Jumla ya wafugaji 44 wenyenkukadiriwa na mifugo zaidi ya elfu 30, wanafugwa katika pori la Kigosi -Muyowosi,mara kadhaa wamekuwa wakidai kuwa mazingira ya kuwaondosha mifugo hao ni magumu kutokana na eneo walilopo kuzungukwa na maji ya Mto Malagarasi, hivyo kuendelea kuathiri Ikolojia pamoja na Wanyama, vitalu vya uwindaji hivyo kupunguza mapato yanayotokana na uwindaji.

Hata hivyo, Mkuu wa Mkoa amewahakikishia wafuaji kuwa kuondoka katika pori hilo ni lazima na hakuna kisingizio kwamba ng'ombe watazama kwanye maj, amesema haiwezekni tukiwaambia waondoke wanasingizia ng'ombe kuzama huku wanapeleka mifugo minadani, tunajua kunannja tatu wanazopitisha kwenda minadani na ndizo hizohizo tutazitumia kuwahamisha. Ameoneza Mkuu wa Mkoa.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa