• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

WADAU WA MAENDELEO WATAKIWA KUSHIRIKISHA WANANCHI WANAPOTEKELEZA MIRADI

Posted on: November 1st, 2024

Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma Mhe. Hassan Rugwa ameyataka mashirika yasiyo ya kiserikali yanayotekeleza miradi ya Maendeleo mkoani Kigoma kuweka utaratibu wa kushirikisha walengwa ili kujua uhalisia wa mahitaji yao, jambo litakalosababisha miradi hiyo kuwa na tija na kuwaketea manufaa ya moja kwa moja wananchi.

Katibu Tawala ametoa kauli hiyo alipokutana na kuzungumza na Mwakilishi kutoka Shirika la Maendeleo la Serikali ya Ubelgiji (Enabel) linalotekeleza Mradi wa Wezesha Binti Mkoani hapa Bi. Denise Lapoutre na kusisitiza kuwa,  mapendekezo na utekelezaji miradi unapaswa kuzingatia mahitaji halisi ya wananchi wanaolengwa na mradi husika.

Amesema kutekeleza mradi ni jambo moja na  kuleta matokeo chanya ni jambo linguine, hivyo wasimamizi wa miradi hiyo wanapaswa kuhakikisha kila upande unahusika katika  kufikiwa kwa malengo yaliyowekwa ili walengwa waweze kunufaika.

Amesema kila mradi unapoanza kutekelezwa lazima jamii husika ihusishwe kwa kila hatua hali itakayoibua utayari na kuifanya jamii hiyo kuwa sehemu ya mradi husika.

Tumeshuhudia maeneo mengi miradi inaanzishwa lakini inashindwa kufikia malengo yaliyokusdiwa kutokana na wakazi kutohusishwa, hivyo niwashauri kila hatua ikiwemo ubainifu wa walengwa, mahitaji na matarajio ya mradi’’ amesema Rugwa.

Mradi wa Wezesha Binti unatarajiwa kutekeleza ujenzi wa mabweni nane kwa shule chaguliwa katika kila halmashauri ya mkoa, matundu tisa ya vyoo vya wasichana pamoja na chumba cha kujihifadhi kwa ajili ya mabinti waliofikia rika balehe.

Kupitia mradi huo, jumla ya Shule za sekondari 25 zitafikiwa huku jumla ya wanafunzi wa kike na kiume 12,750 wenye changamoto  za kupata kazi za staha na zenye ujuzi watafikiwa mkoani Kigoma.

Mradi wa wezesha binti pia unalenga kuhakikisha watoto walioacha masomo wanarejea shuleni, kuendelea kuboresha mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji kupitia ujenzi wa miundombinu, kutoa ujuzi kwa watoto walioacha shule, kuwawezesha ujuzi utakaosadida vijana kujiajiri, kushirikiana na serikali kuviwezesha vyuo.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AZINDUA RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA KIMKOA

    May 27, 2025
  • JAMII INAPASWA KUZINGATIA CHANJO KUJILINDA NA MARADHI

    May 20, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa