• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Wadau wa biashara kati ya TCCIA Kigoma na Burundi BFCCI Wakutana Kujadili Masuala ya kibiashara

Posted on: May 29th, 2017

Wadau wa biashara kati ya TCCIA Kigoma na Burundi BFCCI leo wamekutaa Mkoani Kigoma kujadili mambo mbalimbali yanayoweza kuleta sura mpya na mabadiliko chanya katika biashara kati ya nchi hizo mbili.

Akizungumza katika hotuba yake ya Kufungua Mkutano huo Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brigedia Jenerali (mst.) Emauel Magaga alisema Mkutano wa wafanyabiasara wa nchi zote mbili utawawezesha wote kwa pamoja kuweka malengo, na shabaha ya kutumia fursa za kibiashara na maendeleo katika nchi zao, sambamba na kupanua Malengo ya Maendeleo endelevu (MSDGs).

Juhudi hizi ni malengo ya kusaidia nchi hizi mbili katika kuelekea maendeleo endelevu, kwa kushughulikia vipimo vya maendeleo ya kiuchumi, kuwepo kwa ushirikiano mazingira endelevu ya kibiashara, na kuangalia vikwazo mbalimbali vinavyoweza kutatuliwa ili kutengeneza mazingira rafiki ya wafanyabiashara wa pande zote mbili.

Tanzania na Burundi zina uwezo wa kuzalisha bidhaa, pamoja na kutambua changamoto za kibiashara kwa pamoja, ili ziweze kushirikiana, katika ngazi ya kimataifa hazinabudi kutengeneza mikakati endelevu ya kibiashara.

Mkutano huu utatoa mwongozo wa Serikali, sekta binafsi, washirika wa maendeleo, asasi za kiraia na wasomi juu ya njia bora ya kutekeleza mipango ya kuweka yenye manufaa zaidi kwa wafanyabiashara wa Burundi na Tanzania.

Ili kuwa na mapinduzi ya kibiashara katika hali halisi itahitaji kujenga uhusiano na wadau mbalimbali, kushirikiana viongozi wa kisiasa na watoa maamuzi, viongozi wa serikali, wanasayansi, walimu na watafiti, vyombo vya habari, sekta binafsi, vyama vya kiraia, wananchi na kama jamii aliongeza Maganga.

Aidha, nguzo kuu za kuvutia katika biashara na kufikia mapinduzi ya kiuchumi ni utawala na uongozi, uwezo na rasilimali, kanuni na viwango, teknolojia na maendeleo ni lazima zizingatiwe katika kufika malego ayo.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa