• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

VYAMA VYA SIASA VYAPONGEZA MCHAKATO WA UCGHAGUZI SERIKALI ZA MITAA KIGOMA

Posted on: November 29th, 2024

MKUU WA MKOA WA KIGOMA KAMISHNA JENERALI MSTAAFU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI MHE. THOBIAS ANDENGENYE AKIZUNGUMZA NA VIONGOZI WA MADHEHEBU YA DINI PAMOJA NA VYAMA VYA SIASA MKOA WA KIGOMA (HAWAPO PICHANI).

KATIBU TAWALA MKOA WA KIGOMA MHE. HASSAN RUGWA NI MIONGONI MWA MWAJUMBE WALIOHUDHURIA KIKAO HICHO CHA MKUU WA MKOA NA VIONGOZI WA MADHEHEBU YA DINI NA VYAMA VYA SIASA MKOA WA KIGOMA.

PICHA YA PAMOJA YA  MKUU WA MKOA WA KIGOMA MHE. THOBIAS ANDENGENYE (MWENYE MIWANI KATIKATI) AKIWA  NA VIONGOZI WA MADHEHEBU YA DINI NA VYAMA VYA SIASA MKOA WA KIGOMA

KIGOMA.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye amekutana na viongozi wa Madhehebu ya Dini pamoja na viongozi wa vyama vya Siasa Mkoa wa Kigoma kwa lengo la kuwashukuru viongozi hao kwa kushiriki katika kuhamasisha, kuelimisha na kuhimiza jamii kushiriki zoezi la uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kwaamani na utulivu.

Akizungumza na viongozi hao katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Andengenye amesema viongozi hao wamekuwa na mchango mkubwa katika kufanikisha zoezi hilo katika mkoa na kusisitiza jamii kutoa ushirikiano kwa viongozi waliochaguliwa bila kujali itikadi za vyama vyao ili waweze kusukuma mbele gurudumu la Maendeleo mkoani Kigoma.

Amewaelezea viongozi hao kuwa wametambua umuhimu wao katika kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa kufikisha jumbe kuhusu maendeleo na hatua mbalimbali zinazohusu uchaguzi  wa Serikali za Mitaa, jambo lililochangia idadi kubwa ya wananchi kujitokeza na kushiriki.

Mwenyekiti wa Kamati ya Maridhiano na Amani Mkoa wa Kigoma Shekhe Hamis Kipemba, amesema viongozi wa madhehebu ya dini wapo tayari na wataendelea kushirikiana na uongozi wa serikali ya mkoa katika utekelezaji wa majukumu mbalimbali sambamba na kuendelea kuhubiri Amani, umoja na mshikamano kwa wanakigoma na watanzania kwa ujumla.

Upande wake mjumbe wa kikao hicho Mch. Michaeli Kurwa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Makanisa ya kipentekoste Mkoa wa Kigoma ameushukuru uongozi wa mkoa na wasimamizi wa uchaguzi wa Serikali za mitaa kwa kuwashirikisha viongozi hao katika hatua zote kuanzia muhimu kuanzia mwanzo hadi kukamilika kwa zoezi hilo.

Yassin Bakari ambaye ni Mwenyekiti wa umoja wa vyama vya Siasa Mkoa wa Kigoma(TCD) amesema uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka 2024 umeisha kwa Amani na usalama na hakuna matukio yoyote yaliyojotokeza na kusababisha athari kwa mali na uhai wa wakazi.


Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa