• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Viongozi wa Dini Waaswa kuhubiri Neno la Mungu na siyo Siasa

Posted on: September 9th, 2018

Viongozi wa dini wameaswa kutokujiingiza katika mabishano ya kisiasa pamoja na kuizodoa Serikali, bali watafute namna nzuri ya kukaa na kuishauri serikali kwa maelewano na mazungumzo kwa nia ya kujenga.


Haya yamesemwa na Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati wa ibada ya kuwekwa wakfu kwa Maaskofu wanne na Askofu Mkuu msaidizi Mmoja wa Kanisa la Pentekoste motmoto Mkoani Kigoma.


Amesema Serikali ya awamu ya Tano ni sikivu na itapenda kuona viongozi wa dini wanahubiri neno la Mungu, kuleta Amani, umoja na mshikamano wa kitaifa badala ya kujiingiza kwenye siasa hivyo kuleta mgawanyiko ndani ya waamini na kuvuruga amani. Wakati wowote viongozi wa dini mnapoona kunashida maha waoneni viongozi zungumzeni nao kwa nia ya kujenga kuliko kutumika kisiasa ameongeza Mhe. Makam wa Rais


Kwa upande wao Viogozi wa dini wa Kanisa hilo wameipongeza Serlikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kusimamia haki na misingi ya sheria kuhakikisha rasilimali za Nchi zinatumika kwa manufaa ya watanzania wote badala ya watu wachache.


Akisoma hotuba ya kusimikwa kwa Maaskofu mbele ya Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Askofu Mkuu wa Kanisa la Pendekoste Motomoto lilipo Mkoani Kigoma, Ezra Enock Mtamya amesema Serikali ya Awamu ya Tano inastahili pongezi kubwa kwa juhudi kubwa inazozifanya katika kuhakikisha rasilimali za nchi zinaleta manufaa kwa watanzania.


Akofu Mtamya ametaja moja ya mambo makubwa ya kujivunia katika Serikali ya awamu ya tano ni juhudi kubwa za kurudisha taswira ya Tanzania kimataifa mambao ilikuwa imeshapotea ni ununuzi wa Ndege ambazo kwa sasa zimerudisha hesma na kuitangaza tanzania hivyo kukuza uchumi na kuvutia bishara na utalii, ujenzi wa Reli ya kisasa pamoja na kuweka vipaumbele katika elimu na Afya.


Sisi kama viongozi wa dini tutaendele kuwaomba waumuni kuwaombea Viongozi wetu na serikali yetu ili iendelee kufanya mambo mazuri zaidi, alisisitiza Askofu Mtamya.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa