• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

VIONGOZI VYAMA VYA SIASA KIGOMA WARIDHIKA NA MAANDALIZI UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

Posted on: October 21st, 2024

Umoja wa Vyama vya Siasa Mkoani Kigoma umeonesha kuridhishwa na namna ambavyo Serikali mkoani Kigoma ilivyosimamia utekelezaji wa zoezi la uandikishaji wa daftari l a orodha ya wapigakura kwa ajili ya Uchagzu wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini Septemba 27,2024.

Mwenyekiti wa Umoja huo, Ramadhani Kasongo amesema wakati zoezi likiendelea wamefanikiwa kutembelea kwenye halmashauri na kujionea hali ya utekelezaji wa zoezi hilo, ambapo wameridhishwa na ushirikishwaji mkubwa wa vyama vya siasa katika maamuzi yaliyokuwa  yakifanywa na watendaji wa Serikali katika kufanikisha zoezi hilo.

Amesema mafani kio mengine waliyoyashudia wakati zoezi hilo likiendelea ni pamoja na mawakala kushiriki zoezi hilo kwa Amani sambamba na kutawala kwa uwazi katika maamuzi yaliyokuwa yakifanyika.

Aidha Kasongo ametoa wito kwa wanachama wa vyamba vya Siasa pamoja na wasimamizi  wa uchaguzi  kuendelea kuzingatia  Sheria, Kanuni na Taratibu za uchaguzi ili kudumisha Amani na utulivu jambo litakalochangia kuwapata viongozi bora na wenye dhamira ya kuliletea Taifa Maendeleo.

Upande wake Katibu wa Chama cha NCCR-Mageuzi mkoa wa Kigoma Rajabu Hamis ametoa wito kwa makatibu wa vyama vya Siasa mkoani Kigoma kuendelea kushiriki kikamilifu katika kutoa hamasa , kusimamia maadili ya vyama na kufuatilia hatua zote kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ili kuwapa taarifa wanachama wenzao, jambo litakalochangia kuondoa sintofahamu zinazojitokeza ndani ya vyama vyao.

Niwasisitize viongozi wenzangu wa vyama vya siasa kushiriki siasa safi kwa kuacha kuendekeza tetesi katika utendaji kazi wao bali wazingatie taratibu za uchaguzi na kudumisha upendo miongoni mwetu viongozi wa kisiasa na wananchi tunaowaongoza.

Naye Musa Habib ambaye ni Katibu wa  Chama cha ADA TADEA Mkoa wa Kigoma amesema viongozi wa Umoja wa vyama vya Siasa Mkoa waliamua kukagua maendeleo ya zoezi la uandikishaji daftari la wakazi ili kujiridhisha na kuona namna zoezi hilo linavyofanyika na kutoa ushauri kwa wasimamizi ili kuondoa dosari ndogondogo zilizokuwa zikijitokeza.


Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa