• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

VIFAA TIBA VYENYE THAMANI YA ZAIDI YA SH. MIL 200 VYAPOKELEWA KITUO CHA AFYA BUNYAMBO

Posted on: February 6th, 2024

Jumla ya vifaa Tiba 38 vyenye Thamani ya Shilingi 214,253,955.11 vilivyotolewa na Serikali ikiwa ni kati ya vifaa vilivyotolewa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu mara baada ya kufanya uzinduzi wa vituo 16 vya kutolea huduma ya Afya.

Akitoa Taarifa kwa Umma kuhusu  mapokeai ya vifaa hivyo  vilivyotolewa katika Kituo cha Afya Bunyambo  kilichopo Halmashauri ya wilaya ya Kibondo, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye aesema upatikanaji wa vifaa hivyo umelenga kuwezesha upatikanaji wa Huduma ya upasuaji wa dharura kwa kina mama wajawazito.

Amevitaja vifaa hivyo kuwa ni mashine ya usingizi, mashine ya kukausha nguo, meza ya upasuaji, taa za uchunguzi,  vitakasa vifaa, majokofu ya kutunzia damu na dawa,  vifaa vya kuratibu mapigo ya moyo, vifaa vya upasuaji, kusaidia upumuaji na vile vya uchunguzi kwa mama wajawazito.

Kupitia taarifa yake, mkuu huyo wa Mkoa amewakumbusha watendaji wa Idara ya Afya kuendelea kutunza vifaa hivyo ili viweze kuwanufaisha wananchi kimatibabu kwa muda mrefu kwani serikali inaingia gharama kubwa kununua vifaa tiba hivyo.

Upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Dkt. Jesca Lebba amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu kwa kuidhinisha kupatikana kwa vifaa hivyo kwani wakazi wa eneo hilo walikuwa na uhitaji mkubwa wa vifaa tiba hivyo.

Amesema pamoja na upatikanaji wa vifaa hivy, bado mkoa unachangamoto ya utoshelevu wa Ikama ya wahudumu wa Afya kwa Asilimia 67 hali inayochangia kuendelea kuwepo kwa changamoto ya utoaji wa huduma kwa asilimia mia moja.

Katika kukabiliana na changamoto hiyo Dkt. Lebba amesema tayari kwa kushirikiana na mamlaka za Ajira, mkoa umefanikiwa kutoa nafasi za wayendaji wa kujitolea zaidi ya 1000, kutumia huduma ya mama msindikizaji pamoja na uwepo wa fursa ya watendaji katika vyuo vya kutolea huduma za Afya.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa