• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

UZINDUZI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WASOGEZWA HADI JUNI 20 2024

Posted on: June 22nd, 2024

MHE. JAJI RUFAA JACKOBS MWAMBEGELE MWENYEKITI WA TUME HURU YA  TAIFA YA UCHAGUZI AKIZUNGUMZA NA WANAHABARI WAKATI AKITOA TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUSOGEZWA KWA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU WAPIGA KURA MKOANI KIGOMA LEO JUNI 22, 2024 KATIKA UKUMBI WA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI MJINI KIGOMA.

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kusogezwa mbele kwa Zoezi Maalum la Uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura ambalo lilitarajiwa kuanza Julai Mosi hadi 7, 2024 ambapo sasa litafanyika tarehe 20-26 Julai 2024, uzinduzi wake kitaifa utafanyika Mkoani hapa.

Akitoa Taarifa kwa Umma kupitia vyombo vya Habari Mkoani Kigoma, Mwnyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Mhe. Jaji Rufaa Jackobs Mwambegele amesema Tume imezingatia maoni yaliyotolewa na wadau na kufikia maamuzi hayo ya kusogeza mbele zoezi la uboreshaji wa Daftari hilo.

Amefafanua kuwa, taratibu za awali kuhusu utekelezaji wa zoezi hilo zitabaki kama zilivyopangwa ambapo Mgeni Rasmi katika uzinduzi huo atakuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa(Mb)

Aidha Jaji Rufaa Jackob Mwambegele amewataja wadau waliokutana na Tume kisha kushiriki kutoa maoni kuwa ni pamoja na Viongozi wa Vyama vya Siasa, Viongozi wa Dini, wawakilishi Asasi za kiraia, wahariri wa vyombo vya Habari, waandishi wa Habari, Maafisa Habari,  wawakilishi wa Makundi mbalimbali ya vijana, watu wenye ulemavu, wanawake na wazee wa kimila.

Aidha ameendelea kufafanua kuwa kwenye mikutano na wadau hao wameshauri kuwa, Taasisi na Asasi zilizoomba kibali cha kutoa Elimu ya mpiga kura wakati wa uboreshaji wa daftari, zinahitaji kuongezewa muda utakaowawezesha kupata fedha kutoka kwa wafadhili kwa ajili ya kuwawezesha kutekeleza majukumu yao.

Pili taasisi zenye kibali cha kuwa waangalizi wakati wa utekelezaji wa zoezi hilo kuomba kuongezewa muda ili ziweze kupata fedha kutoka kwa wafadhili kwa ajili ya kufanikisha kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi.

Tatu, vyama vya Siasa vilitoa maoni kuhusu uhitaji wa kupatiwa muda wa kutosha kwa ajili ya kuwapata mawakala sambamba na kutoa Elimu kwa Wananchi ili waweze kujitokeza na kushiriki zoezi hilo.

Aidha wadau hao walishauri tume ijipe muda wa kutosha kwa ajili ya kutoa Elimu ya mpiga kura kwa wadau na wananchi kabla ya kuanza kwa zoezi hilo ili waweze kujitokeza kwa wingi na kushiriki.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa