• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

UKOSEFU WA HOFU YA MUNGU CHANZO CHA KUENEA KWA IMANI ZA KISHIRIKINA

Posted on: September 8th, 2023

MKUU WA MKOA WA KIGOMA THOBIAS ANDENGENYE (KULIA) AKIZUNGUMZA MARA BAADA YA KUKARIBISHWA NA MCH. DKT. BONIFACE MWAMPOSA WA MADHABAHU YA INUKA UANGAZE, KWA AJILI YA KUTOA SALAMU ZA SERIKALI KWA WAUMINI WALIOJITOKEZA KATIKA UWANJA WA KAWAWA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI KWA AJILI YA KUPATA NENO LA MUNGU NA HUDUMA YA MAOMBEZI (UPAKO)

Hali ya ukosefu wa utii na hofu ya Mungu inayosababishwa na baadhi ya watu kutosimama katika misingi ya kiimani imeelezwa kuchabgia kwa kiasi kikubwa uwepo wa Imani za kishirikina kwa baadhi ya wanajamii mkoni Kigoma.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye alipozungumza wakati aliposhiriki Maombi na Ibada iliyoongozwa na Mchungaji Dkt. Boniface Mwamposa  katika uwanja wa Kawawa, Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani hapa.

Mkuu huyo wa Mkoa amesema kutokana na baadhi ya wanajamii kushindwa kuzingatia mafundisho yanayotolewa kuendana na miongozo ya dini zao, wameendelea kujikuta wakishiriki vitendo ambavyo ni kinyume na matakwa ya dini hizo na kusababisha ukosefu wa Amani katika jamii.

Upande wake Mchungaji Mwamposa kupitia mahubiri yake amesema viongozi  wa kiroho bado wanajukumu kubwa la kuwaombea waumini wao ili kuwabadilisha na kubaki katika muelekeo wa kweli katika kumuamini Mungu.

Aidha Mwamposa amempongeza Mkuu huyo wa Mkoa pamoja na viongozi wengine wa kiserikali kwa ushirikiano wanaoendelea kuutoa kwa viongozi wa dini ikiwemo yeye  mwenyewe na kusisitiza kuendelea kuwaombea viongozi hao ili wazidi kutekeleza majukumu yao kwa weledi mkubwa.

‘’viongozi wa Serikali mnaposhiriki nasi mnatufanya tuendelee kuaminiwa na wananchi lakini pia kuonesha umoja wetu katika utekelezaji wa majukumu kuendana na namna ambavyo Mungu amempangia kila mwanadamu’’ amesema Mwamposa.

Aidha Mwamposa ameiasa Jamii kuchana na Ramli chonganishi pamoja na kutegemea nguvu za giza kwa kudhani kuwa, ushirikina ni chanzo cha mafanikio.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AZINDUA RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA KIMKOA

    May 27, 2025
  • JAMII INAPASWA KUZINGATIA CHANJO KUJILINDA NA MARADHI

    May 20, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa