• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

UJENZI MIRADI YA SERIKALI UZINGATIE MIONGOZO-GERARUMA

Posted on: September 28th, 2022

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa 2022 Sahili Geraruma  amewataka Wataalam  wa Serikali wenye dhamana ya kusimamia  utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo, kuzingatia Taratibu na miongozo inayotolewa  na  Serikali katika utendaji kazi wao.

Geraruma aliyasema hayo wakati akizindua mradi wa  vyumba sita vya Madarasa katika Shule ya Sekondari Nyanganga iliyopo wilayani Uvinza Mkoani hapa, ambapo Kiongozi huyo wa Mbio za Mwenge alimtaka Mhandisi anayesimamia ujenzi wa mradi huo kuzingatia michoro ya majengo inayotolewa na Serikali.

‘‘Nakushauri Mhandisi pamoja na wataalam wengine mnaosimamia kazi za ujenzi hapa, muache kukaa ofisini na badala yake mfike maeneo inakotekelezwa miradi ya Ujenzi ili kubaini na kuzifanyia kazi  dosari zinazoweza kujitokeza wakati ujenzi ukiendelea’’ Alisema Geraruma.

Aidha kiongozi huyo wa Mbio za Mwenge, alikubali kuzindua Mradi huo wenye Thamani ya Shilingi Milioni mia moja na Ishirini na kumuagiza Mhandisi wa Wilaya  ya Uvinza kufanya marekebisho katika maeneo yenye dosari alizozibaini.

Kapitia hotuba yake, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye alisema  Mwenge  huo utakimbizwa katika Halmashauri nane, ambapo utatembelea, kuweka mawe  ya msingi pamoja na kuzindua  jumla ya miradi 51 yenye Thamani ya zaidi ya Shilingi Bil.13

Alifafanua kuwa, Mkoa ulifanya vizuri  katika zoezi la Sensa ya watu na Makazi kwa Mwaka 2022, pia umeendelea kufanya vizuri katika mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI, Utekelezaji wa Afua za Lishe ili kukabiliana na Udumavu pamoja na Mapambano dhidi ya Malaria.

‘‘Nachukua fursa hii kuwapongeza wakimbiza Mwenge Kitaifa  kwa kazi kubwa wanayoendelea kuifanya kwani mpaka kufikia sasa  wamefanikiwa kuifikia Mikoa 29 yenye Jumla ya Halmashauri 179 na kuifikisha alama ya chombo hiki kilichoasisiwa kwa nia ya kutuunganisha’’ Alisema Andengenye.

Upande wake Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu Prof. Joyce Ndalichako, alisema ameridhishwa na mapokezi makubwa ya Mwenge yaliyofanyika wilayani Uvinza huku akisisitiza kuendelea kuutumia kwa kusambaza ujumbe wa kupinga rushwa, matumizi ya dawa za kulevya pamoja na kuhamasisha uzalendo.

‘‘Nawasihi tutumie Mwenge wa Uhuru kama chombo cha kujitafakari na kuchukua hatua pale tunapoona baadhi yetu wanakiuka maadili mema hali inayoweza kuharibu Amani na mshikamano uliopo katika Nchi yetu’’ alisisitiza Ndalichako.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa