• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

UJENZI SOKO LA MWANGA KIGOMA KUANZA NOVEMBA 15,2024

Posted on: November 2nd, 2024

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais- TAMISEMI Zainab Katimba ameshuhudia utiaji Saini  Mkataba wa Ujenzi wa Soko la Mwanga pamoja na Soko la Samaki Katonga yote yakiwa katika Manispaa ya Kigoma Ujiji ikiwa ni miongoni mwa miradi inayotekelezwa kupitia Mradi wa Uboreshaji wa Miundombinu ya Miji ya Tanzania (TACTIC).

Akimwakilisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Naibu Waziri Katimba amesema lengo la miradi ya TACTIC ni kuziwezesha Halmashauri za Miji nchini kutoa huduma bora kwa Wananchi.

Amesema ni matarajio ya serikali kuwa miradi hiyo iliyosainiwa utekelezaji wake  italeta mabadiliko chanya kwa wananchi kwa kuwawekea mazingira bora ya kibiashara, kurahisisha kupata huduma za kimasoko pamoja na kuchangia ongezeko la mapato kwa Manispaa ya Kigoma Ujiji.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi hiyo, Mwakilishi wa Mkurugenzi amkuu  TARURA Mha. Hampher Kanyenye amesema Mkataba wa ujenzi wa masoko hayo mawili unathamani ya Shilingi Bil. 16.4 na utekelezaji wake utafanyika katika kipindi cha miezi 12 kuanzia Novemba 15, 2024 ujenzi ukifanywa na wakandarasi wazawa M/S Asabhi Co. Ltd. na Pioneer Builders Ltd.

Amesema kutokana na ujenzi wa Soko la Mwanga, jumla ya wafanyabiashara 4140 watanufaika kupitia shughuli za kibiashara ambapo awali  soko lilijumuisha wafanyabiashara 1246, ujenzi wa vizimba 1000, maduka 3040,  migahawa ya mama lishe 100,  kituo cha polisi huku mapato yakikadiriwa kufikia  bil. 1.4.

Ameitaja miundombinu mingine itakayojengwa katika soko hilo kuwa ni Ofisi, ukumbi wa Mikutano, maegesho ya magari na pikipiki, vyoo  vya kulipia na maeneo ya kupumzikia.

Amesema ujenzi wa Soko la Samaki Katonga utatoa fursa kwa wafanyabiashara 2000 kunufaika kutoka 270 wa awali huku matarajio ikiwa kujenga vizimba 300, maduka 800, vyumba 10 vya kutunzia samaki pamoja na ujenzi wa eneo la kukaushia samaki lenye urefu wa mita 5256 pamoja na eneo la kuhifadhia mitumbwi, vyoo pamoja na Ofisi za soko.

Aidha Mha. Kanyenye amesema soko hilo litakapokamilika matarajio ni kuongezeka kwa makusanyo kutoka Shilingi Mil. 31.5 na hadi kufikia Mil.183.2, jambo litakaloemdelea kuimarisha mapato katika  Manispaa ya Kigoma Ujiji na Taifa kwa ujumla.


Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AZINDUA RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA KIMKOA

    May 27, 2025
  • JAMII INAPASWA KUZINGATIA CHANJO KUJILINDA NA MARADHI

    May 20, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa