• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

UJENZI SHULE YA SEKONDARI NKUNGWE WAFIKIA 99%

Posted on: March 13th, 2024

Kupitia Programu ya  uboreshaji wa Elimu Sekondari (SEQUIP) Juni 30, 2023 Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ilipokea kiasi cha Shilingi 603,890,562/= kwa ajili ya ujenzi wa Miundombinu ya Shule ya Sekondari Nkungwe  iliyopo kata ya Mkungwe iliyopo katika Halmashauri hiyo.

Mapokezi ya Fedha hizo yalilenga kutekeleza ujenzi wa miundombinu ya shule hiyo ikiwemo vyumba vine vya madarasa, Jengo la Utawala, majengo ya Maabara za Kemia, Fizikia, Baiolojia, Jengo la Maktaba, TEHAMA, Matundu kumi (10) ya Vyoo, Tenki la Maji na kichomea taka.

Mpaka kufikia Machi Mosi, 2024, majengo ya madarasa yamekamilika na yameshaanza kutumika, majengo ya Maktaba na lile la TEHAMA ujenzi wake umekamilika na kilichobaki ni marekebisho madogo hususani mifumo ya umeme, majengo ya maabara yamekamilika na yako tayari kuanza kutumika, ujenzi wa vyoo umekamilika sambamba na jengo la utawala ambalo marekebisho madogo ya mifumo ya umeme yanaendelea kukamilishwa.

Mkuu wa Shule hiyo Mwalimu Yusuf Makoko ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu kwa kutoa Fedha kwa ajili ya ujenzi wa shule hiyo ambayo kukamilika kwako kutakuwa Mwarobaini wa kuondoa utoro na kuongeza mwamko wa Elimu katika Kata ya Nkungwe kutokana na wahitimu wengi wa darasa la saba kusoma katika shule hiyo iliyopo jirani na makazi yao.

Makoko amesema uwepo wa miundombinu bora utachangia kwa kiasi kikubwa kwa walimu na wanafunzi kushiriki kwa ufasaha matendo ya ufundishaji na ujifunzaji jambo litakalochangia kuinua Taaluma katika Shule hiyo na Mkoa kwa ujumla.

Baadhi ya wanafunzi wa Shule hiyo, wameuomba Uongozi wa Halmashauri hiyo kuboresha miundombinu ya barabara iendayo shuleni hapo ili kuwaondolea adha ya uwepo wa tope na utelezi nyakati za masika.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa