• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

TUWAENZI MASHUJAA WETU KWA KUPIGA VITA UJINGA UMASIKINI NA MARADHI RC ANDENGENYE

Posted on: July 25th, 2023

Jamii mkoani Kigoma imetakiwa kuwaenzi Mashujaa na Waasisi wa Taifa la Tanzania kwa kuendelea kupambana dhidi ya Maradhi, Umasikini na Ujinga ili kuzidi kuliletea Taifa Maendeleo.

Akizungumza mara baada ya kuongoza  zoezi la usafi wa Mazingira katika Hospitali ya Mkoa ya Maweni  ikiwa ni sehemu ya  Maadhimisho ya kilele cha Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa nchini, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amesema kila mtu anawajibu wa kuongeza

Amesema jamii inapaswa kutambua wajibu wake katika kujikinga na Maradhi ili kunusuru Fedha zilizotengwa na Serikali kwa ajili ya kugharamia matibabu ziweze kuelekezwa katika utekelezaji wa Miradi  ya Maendeleo.

Pia ameitaka Jamii kukabiliana na Ujinga kwa kuhimiza na kuhakikisha watoto wote wanapata Elimu itakayowasaidia kukabiliana na mabadiliko katika Nyanja mbalimbali za kimaendeleo Duniani.

Aidha amesisitiza kuwa, wakazi wanapaswa kujibiidisha katika kufanya kazi ili kujiongezea kipato na kujikomboa dhidi ya wimbi la umasikini.

‘’Vita tunayopigana sasa atuhitaji kutumia Silaha bali ni vita ya kifikra ili kujikomboa  na kufikia Malengo yetu kwa kukabiliana na maadui Ujinga, Umasikini na Maradhi’’ amesema Andengenye.

Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa Mkoa ameziagiza Halmashauri zote mkoani hapa kuhakikisha zinatekeleza agizo la Serikali la kutenga Siku moja kila Mwezi kwa ajili ya kufanya usafi wa Mazingira.

Amesema tabia hiyo inatakiwa kuimarishwa ili Jamii iweze kujenga  Utamaduni wa uwajibikaji binafsi katika kutunza Mazingira na kujikinga na Maradhi.

Zoezi hilo limehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Kamati ya Usalama Mkoa, Wakuu wa Idara na Sehemu kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi wa Manispa ya Kigoma Ujiji na Halmashauri ya Kigoma Vijijini, Mganga Mfawidhi Hospitali ya Mkoa Maweni  pamoja na watumishi mbalimbali wa Serikali.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa