• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

TUTAENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO MWEMA KWA AJILI YA MAENDELEO YA WANANCHI WETU-RC ANDENGENYE

Posted on: November 17th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Kamishna Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mhe. Thobias Andengenye akitoa hotuba kwa wajumbe wa Kikao cha Ujirani Mwema( hawapo pichani) wakati akifungua Kikao hicho kilichofanyika katika Ukumb wa Kigoma Social Hall Mjini hapa.Mkuu wa Mkoa wa Makamba nchini Burundi Bi. Francoise Ngozirazana akitoa neno mara baada ya ufunguzi wa Kikao hocho cha Ujirani mwema.

Baadh ya wajumbe wa Mkutano wa Ujirani mwema kutoka nchini Burundi wakifuatilia hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma( hayupo pichani)

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mhe. Thobias Andengenye  amesema Mkoa utaendelea kushirikiana na uongozi wa mikoa ya nchi  ya Burundi  inayopakana na Mkoa wa Kigoma ili kuimarisha usalama na mahusiano mema ajili ya maendeleo ya wananchi wa maeneo hayo.

Kauli hiyo ameitoa wakati  akifungua Mkutano wa Ujirani Mwema  kati ya Tanzania na Burundi kwa Mikoa inayopakana na Mkoa wa Kigoma kilichoanyika leo tarehe 17. Novemba 2022 katika Ukumbi wa Kigoma Social Hall uliopo mjini hapa.

Amesema Uongozi wa Mkoa wa Kigoma unaendelea kutumia  fursa ya vikao vya Ujirani mwema kwa ajili ya kupeana mikakati ya kuimarisha usalama katika maeneo ya mpakani ili kuimarisha utulivu na kutoa fursa kwa wananchi kushiriki shughuli mbalimbali za uzalishaji Mali.

‘’kupitia kikao hiki, Tujadili changamoto zinazowakabili Wananchi wetu kisha tuzitafutie ufumbuzi na kuhakikisha maazimio mbalimbali tunayoazimia  hapa tunayatekeleza ili kuondoa kero zinazowakabili wananchi wetu ili waweze kuishi kwa amani na utulivu’’ Amesema.

Naye, Mkuu wa Mkoa wa Makamba  Francoise Ngozirazana ambaye pia ni kiongozi wa msafara huo, amesema vikao hivyo vimeendelea kuleta tija na matokeo chanya ikiwemo kuimarisha hali ya  utulivu na amani nchini Burundi.

‘’Kwa sasa wakimbizi wanaendelea kurejea nchini kutokana na kuimarika kwa hali ya usalama na kuruhusu wananchi kuendelea na shughuli zao za  uzalishaji mali bila kuwepo kwa usumbufu wowote’’

Mwandishi wa Habari wa shirika la utangazaji la Taifa Burundi (ABP) Alain Bucumi aliyeongozana na msafara huo, amesema kudumisha kwa mahusiano ya nchi hizo mbili  ni muhimu kwa sababu Tanzania imeendelea kuwa kitovu cha shughuli mbalimbali za kiuchumi kwa nchi ya Burundi.

Aidha, amewaasa wakazi kutoka nchini hiyo jirani kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia sheria na kuepuka vitendo visivyo vya kimaadili wanapopata fursa ya kuingia nchini Tanzania kwa malengo ya kufanya shughuli mbalimbali za kiuchumi  ili waweze kutimiza malengo yao.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa