• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

''TUMIENI TAKWIMU ZA SENSA KUPANGA MIPANGO YA MAENDELEO YA MKOA'' RC-ANDENGENYE

Posted on: October 24th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye amewataka wataalam wa Serikali na Sekta binafsi, kutumia takwimu zitakazotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) katika kupanga na kutekeleza miradi mbalimbali ya Maendeleo mkoani hapa, kufuatia kukamilika kwa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi kwa Mwaka 2022.

Mkuu wa Mkoa ametoa Rai hiyo wakati akifungua Kikao cha Tathimini ya Zoezi la Sensa kwa Mkoa wa Kigoma kilichofanyika Leo Tarehe 24 Oktoba 2022, ambapo pamoja na mambo mengine ametoa pongezi kwa Kamati za Sensa ngazi zote, viongozi wa Madhehebuya Dini, waandishi wa Habari pamoja na wananchi wa Mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana na kuhakikisha zoezi hilo limefanyika na kukamilikwa kwa mafanikio makubwa.

‘‘Wataalam wa Idara za Afya, Elimu, uchumi, Mipango, nk mnaotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo, mkazitumie takwimu hizo mpya marazitakapotolewa na Serikali kama miongozo katika mipango ya utekelezaji wa majukumu yenu ili mfanye kazi kwa ufanisi na kupata matokeo chanya’’ amesema Andengenye.

Naye Meneja wa Takwimu Mkoa wa Kigoma, Moses Kahero amesema taarifa za Sensa ya Watu na Makazi kwa Mwaka 2022 zitakapotangazwa Rasmi, zitatoa picha kamili kuhusu hali ya mgawanyo wa huduma za Serikali kwa jamii na kuonyesha maeneo yanayohitaji kufanyiwa maboresho ili kuendana na hali halisi ya mahitaji.

Kahero ameitaja changamoto ya uwepo wa wananchi katika maeneo yasiyo rasmi kimakazi hususani maeneo ya Hifadhi za Misitu, ilichelewesha zoezi la hilo la Sensa na kusisitiza kuwa, juhudi zilifanyika na wakazi hao walifikiwa kisha kuhesabiwa.

Aidha ameushukuru uongozi wa Mkoa kwa kushirikiana na viongozi wengine wa Serikali, Taasisi binafsi pamoja na wadau mbalimbali wa Mendeleo kwa kufanikisha zoezi hilo muhimu kwa maendeleo ya Taifa.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa