• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

''TUMIENI FURSA YA UWEPO WA LIGI KUU KUJINUFAISHA KIUCHUMI'' ANDENGENYE

Posted on: August 10th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amesema ushiriki wa Timu ya Mashujaa katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara utatia chachu katika Maendeleo ya Uchumi wa Mkoa wa Kigoma.

Andengenye ametoa kauli hiyo, alipotembelea na kukagua maendeleo ya ukarabati wa  uwanja wa CCM Lake Tanganyika utakaotumiwa na Timu ya Mashujaa FC ya Mkoani Kigoma kwa Michezo ya Nyumbani katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara Msimu wa 2023/2024.

Amesema kuwa, kutokana na Ushiriki wa Timu hiyo Mkoa wa Kigoma utapokea wageni wengi kutoka ndani na nje ya nchi kwa ajili ya kushuhudia Michezo ya Ligi kuu, ambapo wafanyabiashara mbalimbali watapata fursa ya kunufaika kiuchumi kutokana na kuwahudumia wageni hao.

‘’Pamoja na kupata Burudani kupitia michezo, pia kuna fursa mbalimbali za kibiashara zitakazoweza  kutuimarisha kiuchumi, hivyo nitoe wito kwa wafanyabiashara na wajasiriamali wadogo mkoani hapa kuchangamkia Fursa hii ya ujio wa wageni kwa ajili ya kufanya biashara mbalimbali zitakazowaimarisha kiuchumi.

Upande wake Katibu Tawala Msadidi, Miundombinu Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Francisco Magoti, amesema ukarabati huo unafanyika katika Sehemu za Majukwaa, vyumba vya kubadilishi mavazi kwa wachezaji, vyoo, Ukumbi mdogo wa ndani ya Uwanja pamoja na eneo la kuchezea Mpira.

‘’Tutahakikisha zoezi hili la maboresho ya maeneo muhimu ya uwanja linakamilika kabla ya kuanza msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara ili kuruhusu michezo ifanyike kama ilivyopapangwa’’ amesisitiza Magoti.

Upande wake Afisa Vijana Mkoa wa Kigoma Edward Manase amewasisitiza watendaji pamoja na wasimamizi wa uwanja huo kuzingatia ubora katika zoezi hilo la ukarabati wa uwanja huo.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa