• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

TOENI MAONI YATAKAYOLENGA KUIMARISHA SERA YA UCHUKUZI-RC ANDENGENYE

Posted on: November 12th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thibias Andengenye amefungua Mkutano wa kupokea maoni kwa ajili ya kuhuisha Sera ya Taifa ya Uchukuzi ya Mwaka 2003 na kutoa wito kwa washiriki wa mkutano huo kutoa maoni yenye kujikita katika mapendekezo yatakayolenga kuimarisha miundombinu ya kutolea huduma katika sekta hiyo ili kutatua changamoto zilizopo na zinazotarajiwa kuwepo kwa lengo la kuchochea Maendeleo enedelevu ya mkoa na Taifa kwa ujumla.

Mkuu wa Mkoa ametoa kauli hiyo alipozungumza wakati akifungua kikao  hicho, ambapo amewakumbusha   washiriki kutambua kuwa serikali imeamua kutekeleza zoezi hilo ili kubaini mahitaji halisi ya huduma kupitia Sekta hiyo, kuendana na maoni ya wananchi wenyewe kwa kuwafikia katika maeneo yao.

Mkuu wa Mkoa ameipongeza Serikali ya awamu ya Sita kwa kubaini mapungufu yaliyomo kwenye sera hiyo na kuchukua hatua madhubuti kwa kutoa fursa kwa wananchi kuchangia mawazo yao katika uboreshaji wake kwani imekuwa ikichangia kukwamisha maendeleo endelevu ya Taifa.

Upande wake Mkurugenzi wa ufuatiliaji na Tathimini kutoka Wizara ya Uchukuzi Bi. Devotha Gabriel amesema Wizara ya Uchukuzi imekuwa ikifanya mapitio ya miongozo yake ili iweze kuendana na mahitaji halisi ya wananchi ikiwemo na kuamua kupitia Sera ambazo haziendani na mabadiliko ya kimaendeleo yaliyopo sasa hivyo kuwa nyuma ya wakati na kutokidhi matakwa ya wananchi katika kupata huduma.

Amesema endapo sera hiyo itakamilika itaweka mwongozo utakaochochea mfumo wa utoaji huduma za uchukuzi nchini na kuongeza pato la wananchi, mkoa na Taifa kwa ujumla.

Niwasihi washiriki wote, maoni mnayoyatoa ni kwa niaba ya watanzani wengi ambao hawajafika hapa, hivyo niwaombe mtangulize maslahi ya taifa katika kutoa ushauri, maoni na mapendekezo yenu’’ amesisitiza Devotha.

Mkutano huo umehudhuriwa na  Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma Elisante Mbwilo, wakurugenzi wa Wizara ya Uchukuzi, Mshauri Elekezi  (TALANTA) Wataalam kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma pamoja na wadau mbalimbali kutoka Sekta za Umma na binafsi.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa