• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

TANZANIA KUSHIRIKIANA NA BURUNDI KUIMARISHA SEKTA ZA BIASHARA, UTALII NA UWEKEZAJI

Posted on: August 12th, 2025

MKUU WA MKOA WA KIGOMA IGP MSTAAFU BALOZI SIMON SIRRO AKISALIMIANA NA BALOZI WA BURUNDI KATIKA UBALOZI MDOGO WA NCHI HIYO MKOA WA KIGOMA, KEKENWA GEREMIAH BAADA YA BALOZI HUYO WA BURUNDI KUMTEMBELEA MKUU WA MKOA KWA LENGO LA KUMSALIMIA NA KUJITAMBULISHA LEO AGOSTI 12,2025.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amesema Serikali ya Tanzania kupitia uongozi wa Mkoa wa Kigoma itaendelea kushirikiana na nchi ya Burundi kukuza Sekta za Biashara, Utalii na Uwekezaji ili kuimarisha uchumi wa nchi hizo mbili pamoja na kuwaletea Maendeleo wananchi katika maeneo hayo.

Balozi Sirro ametoa kauli hiyo alipofanya mazungumzo mafupi na Balozi katika Ofisi ya Ubalozi mdogo wa Burundi  Mkoa wa Kigoma, Kekenwa Geremiah Leo Agosti 13, 2025 ambapo balozi huyo amemtembelea  mkuu huyo wa Mkoa kwa  lengo kumsalimia na kujitambulisha.

Amesema wakazi wa Burundi wanayo fursa ya kuwekeza katika mkoa wa Kigoma kutokana na kuimarika kwa Miundombinu ya Uchukuzi na uwepo wa Nishati ya Umeme ya uhakika kutokana na mkoa kuunganishwa na Umeme wa Gridi ya Taifa.

Kupitia mazungumzo yao wawili hao wamekubaliana kuendelea kudumisha vikao vya ujirani mwema sambamba na kuimarisha usalama katika maeneo ya mipaka ili kuruhusu wananchi kuishi kwa amani na utulivu jambo litakaloendelea kuchochea Maendeleo ya wakazi katika Mkoa wa Kigoma na mikoa jirani ya Burundi.


Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • UJENZI KITUO CHA AFYA MAKERE WAFIKIA ASILIMIA 70

    August 27, 2025
  • UJENZI KITUO CHA AFYA RUKOMA KUWAONDOLEA ADHA WAKAZI KUFUATA HUDUMA ZA AFYA ZAIDI YA KM 10

    August 25, 2025
  • MRADI WA AFYA HATUA KUONGEZA KASI MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI MANISPAA YA KIGOMA UJIJI

    August 18, 2025
  • MRADI WA AFYA HATUA KUONGEZA KASI MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI MANISPAA YA KIGOMA UJIJI

    August 18, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa