• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

TANZANIA BURUNDI ZAJADILI ATHARI NA UDHIBITI WA MAJANGA

Posted on: March 19th, 2024


Serikali mkoani Kigoma imeahidi kuendelea kushirikiana na mikoa jiraji inayopakana na mkoa huo katika nchi ya Burundi kwa lengo la kukabiliana na kupunguza athari za majanga ikiwemo uharibifu wa Mazingira, Mali pamoja na kusababisha vifo.

Mkuu wa Wilaya ya Kibondo Kanali Agrey Magwaza ametoa Kauli hiyo alipomwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kwenye Mkutano ulioikutanisha Kamati yay a Maafa ya Mkoa  wa Kigoma na zile za mikoa ya nchi hiyo jirani kwa lengo la kujadili na kuweka mikakati ya pamoja kwa ajili ya kukabiliana na majanga katika maeneo hayo.

Kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa, Mkuu huyo wa wilaya amewataka wajumbe wa mkutano huo kubainisha kwa uwazi majanga yanayozikabili jamii katika mikoa lengwa ili kujadili na kuweka mikakati ya pamoja kwa ajili ya kubaini viashiria na kubadilishana uzoefu wa namna ya kuyakabili majanga sambamba na kuijengea jamii uwezo katika kuchukua tahadhari.

Mwakilishi wa Kamati ya Maafa kutoka nchini Burundi David Minteretse amesema kikao hicho ni sehemu ya suluhisho muhimu katika kukabili maafa yatokanayo na majanga mbalimbali kwani kila upande utafahamu jukumu lake katika kukabili majanga yanapotokea.

Jamii inapaswa kufahamu kuwa majanga hayana mipaka ya kibinaadamu hivyo pande zote zinapaswa kujijengea utayari kifedha, kielimu sambamba na kiteknolojia ili kuzuia madhara au kupunguza athari zake’’ amesema  mwakilishi huyo.

Naye Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Help Age   Tawi la Kibondo, Yovitha Mrina amesema kupitia mkutano hupo, wanatarajia kuweka mikakati madhubuti  ili kujenga utayari kwa wananchi  wa maeneo hayo kwa ajili ya kukabili majanga sambamba na utunzaji wa Mazingira.

Mapema mwezi Februari 2024, Kamati ya kukabiliana na majanga mkoa wa Kigoma ilikutana na Kamati kutoka nchi ya Congo DR kwa lengo la kujadili changamoto hizo ambapo nchi hizo mbili zilikubaliana na kuweka mikakati kadhaa ikiwa ni pamoja na kudhibiti uharibifu wa Mazingira katika  Ziwa Tanganyika.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa