• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

TAJENI CHANGAMOTO ZENU ZA KIKODI MPATIWE UFUMBUZI-RC ANDENGENYE

Posted on: January 22nd, 2025

MKUU WA MKOA WA KIGOMA MHE. THOBIAS ANDENGENYE AKIZUNGUMZA WAKATI AKIFUNGUA MKUTANO ULIOWAKUTANISHA WADAU WA KIKODI MKOANI KIGOMA PAMOJA NA TUME   YA RAIS YA MABORESHO YA  KODI ULIOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA KIGOMA SOCIAL HALL, MANISPAA YA KIGOMA UJIJI JANUARI 22, 2025

Wafanyabiashara mkoani Kigoma wametakiwa kutumia fursa ya Mkutano unaowakutanisha na Tume ya Rais ya Maboresho ya kodi kuwasilisha changamoto zao za kikodi na kupata ufumbuzi kutoka kwenye tume hiyo ili kuendelea kuimarisha mifumo sahihi ya ulipaji kikodi kwa maendeleeo ya Taifa.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye ametoa kauli hiyo alipofungua kikao kilichowakutanisha wadau wa kodi mkoani Kigoma na Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi kilichofanyika mkoani hapa na kuwataka wafanyabiashara hao kueleza kero zao na kupendekeza namna bora ya kuzipatia utatuzi bila kuathiri biashara zao  na mfumo wa ukusanyaji kodi.

Amesema Mhe. Rais ameanzisha tume hiyo ili kuzigusa kuzibaini na kuzifanyia kazi changamoto za wafanyabiashara kwa kuwafikia katika maeneo yao, kupokea changamoto pamoja na kutoa ushauri na kutatua masuala yote yanayotatiza ukusanyaji wa kodi kwa maendeleo ya Taifa.

Awali akitoa taarifa ya utendaji kazi wa Tume, Mwenyekiti wa Tume hiyo Balozi Maimuna Tarishi amesema lengo la tume ni kupokea maboresho ya ukusanyaji kodi yanayotekelezeka na kuongeza fursa za upatikanaji wa kodi kwa njia rahisi na rafiki.

Amesema tume hiyo inazunguuka katika mikoa yote ya Tanzania bara na Zanzibar  ili kukutana na wafanyabiashara kutoka Sekta za Umma na zile binafsi ili kutatua kero za kikodi na kudumisha mazingira rafiki baina ya taasisi hizo na sekta yenye jukumu la kukusanya mapato.

Upande wake mjumbe wa Tume hiyo Prof. Mussa Asad amesema kupitia mikutano yao na wadau wa kodi, wanajadili kuhusu kubaini maeneo yanayostahili kufikiwa kikodi lakini hayafikiwi wakati yakiwa na kumbukumbu nzuri za uzalishaji, kufuatilia hali ya ushughulikiwaji wa malalamiko ya kikodi, kutambua wadau wa kodi walipo pamoja na kero mbalimbali za utozaji kodi wanazokabiliana nazo wananchi na ambazo wasingependa kuziona zikiendelea.

Mkutano huo umeikutanisha tume hiyo na wataalam kutoka Sehemu ya Viwanda, Biashara na uwekezaji kutoka Sekretariet ya Mkoa, wakurugenzi watendaji wa Halmashauri, wakuu wa Taasisi mbalimbali, wafanyabiashara wakubwa, wati na wajasiriamali wadogo.  

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AZINDUA RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA KIMKOA

    May 27, 2025
  • JAMII INAPASWA KUZINGATIA CHANJO KUJILINDA NA MARADHI

    May 20, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa