• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Spika wa Seneti ya Burundi atoa Vifaa vya Michezo Kufaniksha Ligi ya Ujirani Mwema Mkoani Kigoma.

Posted on: October 6th, 2017


Uongozi wa Mkoa wa Kigoma umepokea Mipira 35 pamoja na Kombe kama kama sehemu ya maandalizi ya ligi ya Ujirani mwema itakayoanza kuchezwa Mkoani Kigoma kwa Upande wa Tanzania na Mikoa ya Cankuzo, Ruyigi, Rutana, Rumonge kwa upande wa Burundi, Burundi.

Akikabidhi mipira hiyo kwa niaba ya Mhe. Spika wa Seneti ya Burundi Bw. Yussuf Mossi ambayae ni Mshauri wa Masuala ya Michezo Nchini Burundi amesema kuwa wanajisikia furaha kushirikiana na Tanzania katika masuala mbalimbali mbali na mambo ya ulinzi na usalama, hivyo ligi ya Lake Tanganyika Cup itakuwa ya maana sana katika kuwaunganisha wananchi wan chi hizi mbili Tanzania na Burundi sit u katika Michezo bali hata katika kuchangamkia fursa mbalimbali za kimaendelo

Ligi ya Ujirani Mwema kati ya Mikoa ya Burundi inayopakana na Mkoa wa Kigoma upande wa Tanzania ‘Lake Tanganyika Cup’ itaanza kurindima katika Viwanja vya Lake Tanganyika Manispaa ya Kigoma Ujiji, na uwanja wa Umoja ulioko Halmashauri ya Mji wa Kasulu kuanzia tarehe 08 hadi 13 Oktoba 2017.

mchezo wa soka ni utekelezaji wa maazimio ya vikao vya Ujirani Mwema ambapo kikao cha ujirani mwema kati ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Kigoma upande wa Tanzania kikihusisha Mikoa ya Cankuzo, Ruyigi, Rutana, Rumonge na Makamba kwa upande wa Burundi kilichofanyika tarehe 29 Julai, 2017 Mkoani Makamba nchini Burundi, kilikubaliana kuanzisha ligi ya ujirani mwema kwenye mchezo wa soka kati ya Mikoa hiyo na Wilaya za Mkoa wa Kigoma pamoja na Wilaya ya Ngara kwa Mkoa wa Kagera.

Akizugumza katika hafla ya kupokea mipira 35 iliyotolewa na Rais wa Chama cha Mpira Nchini Burundi ambaye pia ni Spika wa seneti ya Burundi Bw. Reverien Ndikuriyo, Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma amewashukuru wajumbe kutoka Burundi na kumshukuru Mhe. Spika wa seneti ya Burundi kwa kutoa mipira 35 na Kombe kwaajili ya kufanikisha Ligi ya Lake Tanganyika Cup.

“Naomba mfikishe shukrani nyingi kwa Mhe. Spika wa seneti ya Burundi Bw. Everien kwa mchango wake mkubwa katika kufanikisha ligi hii ya ujirani mwema, hii inaonesha namna gani anvyopenda michezo, ushirikiano na urafiki kwa kuimarisha michezo” alsema Bw. Pallangyo

Aidha ameongeza kuwa Ligi hii mbali na kuwa sehemu ya kuimarisha afya ni moja ya hatua ya kuimarisha mahusiano zaidi ya Mikoa jirani ya Burundi na Tanzania na wananchi wake, kwani michezo hujenga urafiki, udugu, kufahamiana na huleta furaha na maelewano.

Naye Afisa Utamaduni wa Mkoa wa Kigoma ambaye pia ni Kaimu Afisa Michezo Bw. Revocatus Lutera ameeleza kuwa Ligi hiyo imepangwa katika makundi mawili A na B, kwa timu zitakazoshiriki, kundi A ambalo linajumuisha Timu za Wilaya Kigoma, Uvinza, Buhigwe, Mashujaa FC na Mwamgongo FC litatumia uwanja wa Lake Tanganyika ulioko Manispaa ya Kigoma Ujiji. Kundi hilo lina. Kundi la B lenye timu za Wilaya ya Kasulu, Kibondo, Kakonko na Ngara litatumia uwanja wa Umoja ulioko Halmashauri ya Mji Kasulu.

Timu zitakazoshinda kutoka kila kundi zitakutana uwanja wa Lake Tanganyika kuendelea na hatua ya Robo fainali na hatimaye fainali siku ya tarehe 28 Oktoba, 2017.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa