• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

SIKU YA MTOTO WA AFRIKA 2017

Posted on: June 16th, 2017

Wazazi wametakiwa kuwajibika ipasavyo katika kuwalinda na kuwakinga watoto dhidi ya changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwemo unyanyasaji, utumikishwaaji, ajira za watoto, lishe duni, kutowapa elimu, na mambo mengine yanayoashiria kuhatarisha maisha na ndoto za watoto.

Haya yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe Brigedia Jenerali emannuel Maganga wakati wa Maadhimisho ya sherehe za kumbukumbu ya Mtoto wa Afrika Mwaka 2017, zilizofanyika katika shule ya Msingi Karuta Mkoani Kigoma.

Siku ya mtoto wa Afrika ni siku muhimu katika kutafakari mambo mbalimbali yanayomuhusu mtoto, ikiwemo malazi bora, haki za mtoto. “Katika ulimwengu wa leo wenye Changamoto, watoto wetu wanakumbana na matizo mabambali ya kimaisha na Kijamii; ni vizuri kama wazazi tukafahamu changamoto hizo na kuzitatua ili watoto wetu waisi maisha ya ndoto zao” alisema Maganga.

Aidha Mkuu wa Mkoa amelipongeza Shirika la Compassion Mission linaloshirikiana na Makanisa ya Kipentekoste Mkoani Kigoma kwa kujishugulisha kuwasaidia watoto waishio katika mazingira magumu na wanaotoka famiia maskini, amesema ni vizuri jamii yote ikatambua kuwa kila mzazi analojukumu la kumwandalia mazingira mazuri mtoto kimaisha, kutimiza haki za mtoto pamoja na kumlinda dhidi ya manyanyaso ya aina yoyote ya mtoto kukosa haki zake.

Aliongeza kuwa Serikali inatambua mchango mkubwa unaofanywa na Taasisi za kidini katika kuleta maendeleo ya watanzania kweye sekta mbalimbali , jitihada hizi zinaonekana wazi katika utoaji wa huduma kwenye jamii, hii ni ishara kuwa Taasisi za kidini zipo bega kwa bega katika kuiunga mkoano Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuboresha mazingira bora kwa watoto na jamii.

Serikali itaendelea kuunga  mkono jitihada  mbalimbali zinazofanywa na wadau katika kusaidia jamii kulinda haki za watoto na kuwasaidia watoto waishio katika mazingira magumu.

Kauli mbiu ya madhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika mwaka 2017  ni  Maendeleo endelevu 2030: imarisha ulinzi na fursa sawa kwa watoto.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa