• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

SHIRIKA LA THAMINI UHAI LAKABIDHI MSAADA WA PIKIPIKI ZA MIGUU MITATU KIGOMA

Posted on: September 11th, 2017

Shirika la thamini Uhai limekabidhi Msaada wa pikipiki 3 za miguu mitatu zitakazotumika kusaidia rufaa za kinamama wajawazito walio katika dharuara za uzazi maeneo ya vijijini.

Msaada wa Pikipiki hizo zenye thamani ya Shiligi Milioni 24 umetolewa Wilayani Uvinza umelenga kuvisaidia vijiji vilivyopo kata ya Nguruka.

Akizugumza katika hafla ya kukabidhi pikipiki hizo Mkurugezi Mtedaji wa Shirika la Thamini Uhai Dkt. Nguke Mwakatudu, alisema pamoja na msaada huo shirika limekuwa likishirikiana na Serikali na Wadau mbalimbali katika sekta ya Afya ambapo hadi sasa limewajegea uwezo watumisi wa Sekta ya Afya 100 na kuboresha upatikaaji wa huduma timilifu za dharula za uzazi katika vituo 12 vya afya na hospitali 3 katika Mkoa wa Kigoma pamoja na huduma za kawaida za dharula za uzazi katika Zahanati 18.

Aliongeza kuwa shirika pia limejega vumba vya upasuaji na kutoa vifaa tiba stahiki, wodi za wazazi, kuboresa mifumo ya maji na umeme.

Akizugumza mara baada ya kupokea msaada huo Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali Emanuel Maganga amewataka wakazi na wananchi wa Vijiji hivyo kutumia msaada huo ipasavo “ wafadhili watafurahi zidi tukitumia misaada hii kama iavyokususdiwa, itashagaza kuona kinamama bado wanajifungulia nyumbani wakati usafiri umeshatolewa kwa huduma hiyo, nawaomba tutumie pikipiki hizi kwa kazi iliyokusudiwa na wafadili” alisisitiza Magaga.

Magaga pia ameutaka Uongozi wa Wilaya kuhakikisa pikipiki hizo hazitumiki kinyume na kazi yake iliokusudiwa “ Mkuu wa Wilaya hakikisha pikipiki hizi hazitumiki kinyume, mtu yeyote atakayebainika kutumia kwa mambo mengine akamatwe mara moja.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa