• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Serikali yatoa Tamko kukabiliana na Changamoto za Uvamizi wa hifadhi Mkoani Kigoma

Posted on: January 6th, 2019


Katika kukabiliana na uharibifu wa Mazingira Mkoani Kigoma Mawaziri kutoka katika Wizara sita za serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa, Ofisi ya Makamu wa rais Mazingira, Maliasili na Utaliii, Kilimo, Mifugo na Uvuvi na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, wakiwemo Makatibu Wakuu wa Wizara hizo walipiga kambi Mkoani Kigoma kwa lengo la kupata suluhu ya changamoto hiyo na kutoa tamko la Serikali.

Akisoma tamko hilo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Selemani Jafo (Mb) amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeamua kukabiliana na changamoto za Uvamizi wa hifadhi za misitu na maeneo katika Mkoa wa kigoma na kusababisha migogoro kati ya maeneo yaliyohifadhiwa na wadau mbalimbali wakiwemo wananchi wanaoishi ndani au wanaopakana na hifadhi hizo.

Kutokana na tathmikni iliyofanyika hivi karibuni katika Mkoa wa Kigoma, imeonesha kuwa hifadhi za misitu na mapori ya akiba yamevamiwa kwa shughuli za kilimo, ufugaji, ukataji miti na ujenzi wa makazi ambao umesababisha athasri kubwa.

Athari hizo zimetajwa ni pamoja na kupote kwa wanyama na uoto wa asili, uharibifu wa vyanzo vya maji ikiwemo mito mikubwa kama Malagarasi, ongezekelo la mmomonyoko wa udongo ambalo linawezakutishia kupungua kina cha ziwa Tanzangyika na kupungua kwa bioanuai.

Kufuatia tamko hilo Waziri Jafo ametaja hatua zitakazochukuliwa na Serikali ili kunusuru hali ya hifadhi na mapori ni pamoja na kufanyika kwa operesheni ya kuwaondoa wavamizi wote wanaofanya shuguli mbambali bila utaratibu katika misitu na mapori Mkoani Kigoma.

Aidha kutokana na Serikali kumega zaidi ya hekta elfu kumi kutoka hifadhi ya Misitu wa Makere Kusini na kuzitoa kwa vijiji vya Mvinza na Kagerankanda, Serikali itaandaa mpango mahususi wa matumizi bora ya ardhi ilinkuwezesha zoezi la ugawaji wa maeneo hayo kufanyika vizuri. Aidha, kwa upande wa wafugaji Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imetenga hekta elfu ishirini kutoka katika maeneo mbalimbali Mkoani Kigoma kwaajili ya ufugaji wenye tija


Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AZINDUA RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA KIMKOA

    May 27, 2025
  • JAMII INAPASWA KUZINGATIA CHANJO KUJILINDA NA MARADHI

    May 20, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa